Recent content by Engineer Mkongwe

  1. E

    Mjomba wangu amekuwa akinilawiti na kunitishia kwa miaka 20 sasa, nataka kumshitaki Mahakamani

    Una umri wa miaka 20 na amekulawiti miaka 20 ila maihisha yalibana ukaamua kuishi kwa mjomba.!?????!!!!!!!
  2. E

    Waraka kutoka Iringa: Sababu za Tundu Lissu kumshambulia Rais Magufuli hizi hapa...

    Mwandishi mstaafu unaimiza waandishi waliopo kazini wafukunyue wakati wewe uliogopa kufukunyua? Pumzika salama Mbeya, na asante kwa makala ndefu ila tiari maji yamemwagika, issue ilikua kujua kwann ndege ilichelewa wala si nani amesababisha.
  3. E

    Rai: Mtoto Anthony wa Ngara asaidiwe; ni wa kipekee

    Voiced Voice naungana ma wewe na mungu akubaliki kwa upeo wako mkubwa make watu wakinunua vitz wanaona wametoboa
  4. E

    Kwanini wahandisi hatupewi kipaumbele na wanawake?

    Hatunaga story za kuimbisha zaidi, wengi tuko mdomo zege[emoji2]
  5. E

    Ufafanuzi kesi ya Musiba dhidi ya Lissu

    Serikali ndio mlinzi wa kila kitu hivo hata kama ni genge la wahuni inabidi ibaini na kudhibiti mkuu pasipo kuangalia sura.
  6. E

    Ufafanuzi kesi ya Musiba dhidi ya Lissu

    Tabby Hata wangekua wahamiaji haramu kwani adhabu yao ni kuwaua na kuwafunga katika viroba? Pengine mtu analiongelea kama anaangalia sinema tu hajui wahusika wanaumiaje.
  7. E

    Msaada: Shirika gani la Ndege ni zuri kusafiri nalo toka Dar es Salaam hadi Mwanza

    Kumbe mikumi kuna uwanja wandege siku hizi? Sikujua aisee
  8. E

    Mbowe sio yule tuliyemzoea

    Nakubaliana na wee mkuu,, mikiki anayopata mbowe kama si jasiri angekua kama bwana yule au akina momose.
  9. E

    Mgawanyiko mkubwa ambao haujawahi kutokea umebisha hodi Tanzania

    Machinga Mwanza oyeeeee Bomoa bomoa Mwanza oyeeee Boda boda Mwanza mjini center oyeeeeee, Mawaziri na manaibu waziri wetu Mwanza oyeeee. Usipojibu, mwanga`ruka.
Back
Top Bottom