Aiseeee jana nmepita hapo nyumban pub uck wakati naelekeaa Dodoma. Nkaona ngoja nipack nipate angalau moja ya kuzuaza koo.... E bana eee kuingia pale Kuna totoz hizo had nkafikir ndoto. Nkauliza hii moro kwel au dsm.. Totoz co za nchi hii aisee [emoji23][emoji23]
Pale msange jkt tabora yupo luten MP...
Pale jitegemee jkt yupo luten MP ALANDO... WaLiosoma pale wanampata huyo jamaa na wapo wawil.. Ila huyo ndo famous
N kwelii kabisa afu kitu kingine watu wakishaona n zebra wanavuka tu... Wanashindwa kujua Ile n mistar tu.... Yan mtu kwasababu n zebra tu unalazimisha kuvuka.. Badala ya kuangalia kwanza spid ya magar.. Mfano unakuta trela Linakuja spid huko mtu anataka kulazimisha avuke
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.