Makamba namfananisha na jamaa ambalo limeandaa project(presentation).
Ya hatr halafu likashindwa kuitetea (failure on delivery)
Bora kuwa na vitu vifupi unavyovijua....lakini kwa kusema gas itaaanza baada ya miaka kumi inaonesha hajawa tayar kuongoza nch hajui hta wizara ya nisht inafanya nn??
CCM inawenyewe mwimbaji maalufu wa ccm..alale mahari pema ....uzi huu una mantiki kubwa lakini ccm wamekuwa na kasumba ya kuachiana madala na kufata makundi..
Kama huyu dr hana kundi bado ndoto zake zitabaki kwenye kigwanomics..
Anatakiwa akae na wazee wa ccm awashawish wampe nchi..
Nawauliza viongozi wa UKAWA....
Mbna mmekaa kimya kutujuza nani atasimama kugombea urais kwa kivuli cha UKAWA????
HEBU SEMEN BANA CC TUANZE KAMPANI MAPEMAA
Kila kona sasa hivi utasikia UKAWA,ACT na CCM maswala mengine nyeti kama kilimo kwanza ujasria mali na uhuru wa fikira...vijana
Tumejisahau, ikumbukwe kwamba maendeleo ya yetu ni kwa kiasi kidogo sana yanaweza kutokana na uamzi wetu wa kuchagua kiongozi makini..
Hapa cha msingi tujikite katika...
Hawa SA kama wangefukuza waarabu na wahindi mm ningekuwa wa mwisho kuwalaumu lkn kwa hwa weusi kma mm...niwe wa kwanza kuwaraum kwa kila kona...huu ni uvivu wa fikira....haiwezekan mtu anafanya biashara zake useme anachukua ajira...hv kama huna sifa utapewaje kaziiiii......kma wanasifa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.