Recent content by Eng Nyahucho

  1. Eng Nyahucho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume wengi wanateswa na wanawake wa aina hii lakini wanaumia ndani kwa ndani matokeo yake kupelekea maafa

    Huyo ni malaya tu ndugu yangu, kwa mwanamke mwenye akili hawezi kuona Mme anacheat nae kakimbilia huko... huyo hata usipokuwa na marafiki wa kike bado ataendelea kugongwa tu, hiyo ni tabia yake asili ambayo hata umshauri namna gani atakuwa anapumzika baadae anarudia. Mimi nakuomba, shirikisha...
  2. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Huyu hapa ni Katibu Mkuu wa UVCCM, Je huyu naye ni kijana?

    Neno vijana linategemea linatoka kwa mtu wa umri gani, mfano wazazi wangu wapo above 80 na mimi naelekea miaka 40 hivyo kuniita kijana wao siyo mbaya japo umri wangu umepita kwenye rika la ujana... Kuitwa kijana haimaanishi kuwa wewe ni kijana, bali muda mwingine inamaanisha kuwa wewe mdogo...
  3. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Wakuu hivi kuna nchi nyingine bora kuishi duniani kama Tanzania?

    Ndio, kuna Parestina, Somalia, Sudan, DRC Congo, Ethiopia, Syria na Africa ya kati.. ni chaguo lako tu mkuu
  4. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Hakuna faida ya kumpeleka mtoto English Medium (mabasi ya njano)

    Mimi mwakani naongeza mwingine huko, kila mmoja anaishi maisha anayoyapenda.. hela yangu unaipangia matumizi
  5. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Mashine 6 za kuzalisha umeme Kituo cha Ubungo 1 zapata hitilafu, Naibu Waziri atoa maelekezo kwa TANESCO

    Pale kuna tanesco 1 na tanesco 2 Symbion ni tanesco 2 under USA
  6. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Nakusudia kuitisha maadamano makubwa nchi nzima ili kupinga mgao wa umeme ambao ni wa kutengenezwa ili kuumiza wananchi!!

    Mimi nitaungana nawe ili kushinikiza serikali itoe msamaha wa kodi kwa kampuni zote binafsi na wafanyabiasha mpaka pale tatizo la umeme litakapotatuliwa na kupatikana kwa dollar, kuendelea kuchukuwa kodi kwa biashara ambazo zinategemea umeme kwa kiasi kikubwa ni kutuvunjia heshima na kutudharau...
  7. Eng Nyahucho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume, ni bora ukakataa kuishi na mwanamke mwenye mtoto kabla kuliko kupretend kumbe haupendi

    Ninachoamini huyo ndio atakuwa na akili zaidi ya kimaisha kuliko hao wengine, ogopa sana mtu anaesoma kwa kupitia mateso huwa anajituma sana... Mwenyezi Mungu amjalie maisha marefu na afya njema ili ndoto yake itimie vizuri bila kikwazo
  8. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Kanuni ya 10%: Jitahidi uishi

    Nimekuelewa vizuri sana ndugu yangu, kwamba inatakiwa tuishi kweli kweli siyo muda wote tunawaza tu
  9. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nimekuta kibubu kina 30,000/- tu baada ya kuweka pesa karibu miezi 5, nifanyeje?

    Sijui kwanini mnapenda hivyo vibox, kuna njia nyingi na salama za kutunza hela mfano mitandao ya simu hasa Vodacom, benki au basi iweke hata kwenye begi la nguo kuliko hivyo vibox vya ajabu ajabu... amini kitu ulichobuni mwenyewe au kinachotumiwa na watu wengi kwa wakati mmoja, benki ni sehemu...
  10. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Hii ndio safari yangu ya Kigoma na niliyoyashuhudia

    Kilikuwa kipindi cha mvua, maana kawaida kufika Kigoma kutokea Mwanza unafika saa 10, ukichelewa sana unafika saa 12
  11. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Mumewe hawezi kusimamisha tena

    Mwambie atafute wa pembeni maana mwanaume kalitaka mwenyewe... Asiondoke, aishi tu na kulea familia yake kwa amani, upendo na furaha, mwambie amheshimu huyo mwanaume maana hiyo ni ajali kama ajali nyingine ila atafute mchepuko nje wa kumtoa hamu
  12. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Malema: Viongozi wa Afrika wananunulika kirahisi sana na ndio Sababu Vijana wa Afrika Magharibi wamegoma kuwa "Bidhaa"

    CHAWA wa Tanzania tunafahamu hili vizuri sana ila kwa sababu uwezo na uelewa wetu wa kutafuta hela kwa kufanya kazi ni mdogo hivyo inatulazimu kufanya kazi ya uchawa ili kupata chochote kitu ili familia zetu ziishi vizuri.. kwa Tanzania uchawa unalipa sana kuliko elimu au utendaji kazi maana...
  13. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Sababu za kutokuendelea kwa Jiji la Mwanza

    Mwanza ni Jiji nzuri la kuishi ila tatizo ni miundombinu hasa barabara, maji na umeme pembeni mwa Jiji ni shida sana. Kuna sehemu hazipitiki kipindi cha mvua japo siyo mbali sana kutoka mjini, maji ndio kilio cha muda wote kwa wana Mwanza
  14. Eng Nyahucho

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tabia halisi za wanaume wa Musoma katika mahusiano

    Huo ni uongo uliowazi, kama ni kupiga wanawake ni makabila yote, hebu nitafute nikuoneshe mchaga mmoja ambae hata miezi miwili haishi bila kupiga mke wake, pia rejea matukio ya kutoana roho ama kupiga mwanamke mpaka wengine ni vilema kisa mapenzi ukianzia Rombo, Arusha, Mbeya, Dodoma, Dar es...
  15. Eng Nyahucho

    JamiiForums Tanzania Baraza Madaktari Tanzania (MCT) lamgomea Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu kuhusu Madaktari Watarajali

    Umenikumbusha Mwalimu wangu wa Special Machine, Dr Saanane alivyotung'ang'ania kwa chuki za baadhi ya wanafunzi waliokuwa karibu na walimu wengine.... haya mambo ya mitihani kuna baadhi ya walimu wanaingiza chuki binafsi na roho mbaya, hebu fikiria mtu kasoma miaka 5 chuoni, A level miaka 2...
Back
Top Bottom