Umenena vyema mkuu
Mimi huwaga sijawahi kuwaambia kwamba maisha yameninyookea,
Nikikutana nao ni mwendo wa kuna ishu naisikilizia au labda wanipe michongo maisha yamenipitia kushoto..
So kwa situation hio sio rahisi kukuomba,
Au akikuomba unampa 500 tu au buku bas.
Ukitoa zaidi ya hapo...
Umeliwa kijana.[emoji1787]
Tatzo mko speed sana.
Kabla ya kufanya jambo jaribu kufanya hata survey kidogo, hata fatilia comment utapata highlights au uliza kwa watu wako wa karibu.
Ishi huku mkuu.
1. Epuka watu watakaokushawishi kunywa pombe
2. Epuka mazingira yatakayokusababisha kunywa pombe.
3. Usiweke pombe nyumbani au sehemu unayokaa.
4. Wajulishe watu unaacha pombe
5. Tatua matatizo ya kihisia na kiakili.
6. Tafuta kitu mbadala cha kufanya.
7. Weka malengo tekelevu...
Asantee kwa kuniweka wazi mkuu.
Ila nadhani hapo ni kwa anaefanyiwa.
Ila mfanyaji at least anaweza kuchange mindsets from (kutamani wanawake badala ya wanaume)
Salaam wanaJukwaa!
Naomba kujuzwa ni namna gani waweza kumpa msaada mtoto mwenye umri kati ya miaka (14-17) aliyeanza kujihusisha na hayo mambo ya ushoga either anafanyia wenzake au anafanyiwa na wenzake, ili kumweka mbali na hivyo vitendo.
Natanguliza Shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.