Huwa mnaishi vipi na watu wanaokuomba hela kila mnapokutana?

Ritchy Breezy

JF-Expert Member
Dec 9, 2020
391
579
Habari za muda huu ndugu zangu, nimekuwa na changamoto nyingi ila kuna moja nikitafakari naona haijakaa sawa.

iko hivi; inatokea tu mtu from no where hasa ninaofahamiana nao wananiomba pesa, kuna muda nawapa muda mwingine nakaza.

Hii hali inatokea mtaani kwa watu tofaut tofauti na hata ninaowapa ikitokea tena amekuona anataka umpe tena, tena anakuomba kana anakudai hadi unaona soo.

Si kwamba nina pesa au asset zinazoreflect kwamba nina pesa au kazi yoyote ya maana, napambana tu kitaa sabbau ni graduate, hii hali inanitokea hata nkienda kijijini nilikokulia mbaya zaidi naona tena imemea kitaa ninapoishi.

Kwa mnaopitia au kuwahi pitia stuation kama yangu mlifanya vipi kukabiliana na hili?

Niwatakie maandalizi mema ya mwaka mpya.
 
Waomba pesa wanaonekana tu.
Mimi ili nisiwavunje moyo, hua tukishasalimiana tu, hapo hapo naanza kulalamika mbayaaa kuwa nmechalala mbayaa, yaan ntakavorap for like 5 minutes, akinipiga mzinga bas ana roho ya chuma.
Oya, yaan lia shida balaa mpka akuonee huruma.
After hapo, hua napewa pole alaf napita hivi.
 
Mtu akikuomba pesa usimpe hapo hapo maana itaonesha unazo. Mpe labda time frame, nitakupa jioni au skiizia siku mbili tatu nitakupa

Na usimpe kiasi kamili, mpe hata robo. Yani ukiombwa 20k, wewe toa 5k na muda mwingine waambie kuwa huna

Hii itakutoa automatically kwenye list ya watu ambao wanatoa kwa uhakika maana hao ndio huja kichwani kwanza wakitaka kupiga kibomu
 
Waomba pesa wanaonekana tu.
Mimi ili nisiwavunje moyo, hua tukishasalimiana tu, hapo hapo naanza kulalamika mbayaaa kuwa nmechalala mbayaa, yaan ntakavorap for like 5 minutes, akinipiga mzinga bas ana roho ya chuma.
Oya, yaan lia shida balaa mpka akuonee huruma.
After hapo, hua napewa pole alaf napita hivi.
Umenena vyema mkuu
Mimi huwaga sijawahi kuwaambia kwamba maisha yameninyookea,
Nikikutana nao ni mwendo wa kuna ishu naisikilizia au labda wanipe michongo maisha yamenipitia kushoto..

So kwa situation hio sio rahisi kukuomba,
Au akikuomba unampa 500 tu au buku bas.

Ukitoa zaidi ya hapo unaonekana unazo.
 
Habari za muda huu ndugu zangu, nimekuwa na changamoto nyingi ila kuna moja nikitafakari naona haijakaa sawa.

iko hivi; inatokea tu mtu from no where hasa ninaofahamiana nao wananiomba pesa, kuna muda nawapa muda mwingine nakaza.

Hii hali inatokea mtaani kwa watu tofaut tofauti na hata ninaowapa ikitokea tena amekuona anataka umpe tena, tena anakuomba kana anakudai hadi unaona soo.

Si kwamba nina pesa au asset zinazoreflect kwamba nina pesa au kazi yoyote ya maana, napambana tu kitaa sabbau ni graduate, hii hali inanitokea hata nkienda kijijini nilikokulia mbaya zaidi naona tena imemea kitaa ninapoishi.

Kwa mnaopitia au kuwahi pitia stuation kama yangu mlifanya vipi kukabiliana na hili?

Niwatakie maandalizi mema ya mwaka mpya.
Kanuni zangu za kutoa hela na misingi ya maamuzi yake.

1. Uwe nazo za kutoa. Kama huna, au unazo lakini bajeti haikuruhusu kutoa, sema tu sina, au bajeti iko tight. Watakaokuelewa watakuelewa, wasiokuelewa wao ndio wanakukosea wewe heshima kwa kutaka kukupangia jinsi ya kutumia hela yako. Inafaa kuwa na bajeti maalum kwa fungu hili.

2. Kuwe na sababu muhimu. Lazima uelewe vizuri sababu, na sababu iwe muhimu. Usipohakiki hivi unaweza kumpa mtu hela akaenda kununua madawa ya kulevya, akafa, ukawa sababu ya kifo chake. Pia ni muhimu kuihakiki sababu kujiridhisha ni ya kweli, si ya kukughilibu tu kuchukua hela zako. Ulimwengu huu una hadaa sana.

3. Huyo anayeomba hela awe na umuhimu kwako. Watu wengi wanataka msaada. Huwezi kuwasaidai wote. Basi, the degree of readiness to help should be directly proportional to the importance of the person or cause. Maana yake, kuna watu wa karibu sana kama wazazi au ndugu wa karibu, au kuna mambo ya muhimu sana kwako kama elimu na matibabu, au hata kwa watu baki ambao umewaelewa sana, unaweza kujinyima sana ili kutoa msaada. Halafu kuna watu baki tu, umekutana nao leo barabarani tu, hata huwajui, hata hawana sababu muhimu, wanakuomba hela tu, hawana sababu ya kushindwa kutafuta chao wenyewe, hao unaweza kuwapotezea kirahisi.

4. Muda wote jiruhusu kuwa kauzu hata bila sababu na kukataa kutoa msaada, bila kujisikia uzito, lakini pia, kumbuka hakuna mtu anayesimama peke yake, kumbuka misaada uliyosaidiwa na wengine.

5. Ikiwezekana, ni muhimu kujikita kwenye kumsaidia mtu aweze kujisaidia mwenyewe, hata kama msaada utakuwa mkubwa zaidi (mfano mtaji wa biashara), kuliko kumsaidia mtu kwa namna ambayo itamfanya awe tegemezi siku zote.
 
Habari za muda huu ndugu zangu, nimekuwa na changamoto nyingi ila kuna moja nikitafakari naona haijakaa sawa.

iko hivi; inatokea tu mtu from no where hasa ninaofahamiana nao wananiomba pesa, kuna muda nawapa muda mwingine nakaza.

Hii hali inatokea mtaani kwa watu tofaut tofauti na hata ninaowapa ikitokea tena amekuona anataka umpe tena, tena anakuomba kana anakudai hadi unaona soo.

Si kwamba nina pesa au asset zinazoreflect kwamba nina pesa au kazi yoyote ya maana, napambana tu kitaa sabbau ni graduate, hii hali inanitokea hata nkienda kijijini nilikokulia mbaya zaidi naona tena imemea kitaa ninapoishi.

Kwa mnaopitia au kuwahi pitia stuation kama yangu mlifanya vipi kukabiliana na hili?

Niwatakie maandalizi mema ya mwaka mpya.
Wewe una nyota ya kupigwa vizinga, unaonekana weak na unakuwa manipulated kirahisi. Ni weakness hiyo kwa mwanaume pambana kuiondoa.

Mimi ninaombwa msaada hata kama mtu alinikosea zamani ananiomba msaada akijua fika character yangu itamsaidia. Sio lazima msaada wa fedha, hata maelekezo, taarifa sahihi na uamuzi wa kufanya.
 
Habari za muda huu ndugu zangu, nimekuwa na changamoto nyingi ila kuna moja nikitafakari naona haijakaa sawa.

iko hivi; inatokea tu mtu from no where hasa ninaofahamiana nao wananiomba pesa, kuna muda nawapa muda mwingine nakaza.

Hii hali inatokea mtaani kwa watu tofaut tofauti na hata ninaowapa ikitokea tena amekuona anataka umpe tena, tena anakuomba kana anakudai hadi unaona soo.

Si kwamba nina pesa au asset zinazoreflect kwamba nina pesa au kazi yoyote ya maana, napambana tu kitaa sabbau ni graduate, hii hali inanitokea hata nkienda kijijini nilikokulia mbaya zaidi naona tena imemea kitaa ninapoishi.

Kwa mnaopitia au kuwahi pitia stuation kama yangu mlifanya vipi kukabiliana na hili?

Niwatakie maandalizi mema ya mwaka mpya.
Mm npo home likizo huku n mizinga ya ULANZI tu sio helaa .....lita 2 buku jelo wanazengo wanakenua meno balaaa...iringa wanaomba pombe sio helaa..
 
Waomba pesa wanaonekana tu.
Mimi ili nisiwavunje moyo, hua tukishasalimiana tu, hapo hapo naanza kulalamika mbayaaa kuwa nmechalala mbayaa, yaan ntakavorap for like 5 minutes, akinipiga mzinga bas ana roho ya chuma.
Oya, yaan lia shida balaa mpka akuonee huruma.
After hapo, hua napewa pole alaf napita hivi.
hii mbinu ndo huwaga naitumia maana kuna mtu akikuuliza mishe znaendaje ukimwambia fresh sjui ww aisee umempa rungu kichaa atalalama afu akupge mznga hajui ata ww pia mamb hayaend ila unajifariji tu usikae kinyonge
 
Back
Top Bottom