leo nimeamka na hii
Ndugu Mteja, kuanzia 26 Julai 2021 kila uingiapo kwenye menyu yoyote ya Bank utatozwa Tsh100 kwenye salio lako la muda wa maongezi. Kwa taarifa zaidi piga 100
kazi iendeleeee
hakuna shaka haji manara kama msemaji wa simba sc alikua akiishi kwenye dunia yake aliamini yeye ndo kila kitu pale simba hakuna anayeweza kumtingisha.
alitukana waandishi hakuna aliyemgusa wala kumkanya alidhalilisha watu na hakuna aliyemkanya leo hii kapatikana yeye anakimbia huruma ya...
Imepita miezi minne tokea chuma kitangulie mbele za haki huku watawala wamesahau kabisa kama kulikua na mtu anaitwa John ila umebaki ndani ya mioyo ya watanzania kama ulivosema baba tumeanza kukukumbuka.
Tanzania ni vilio kila kona hakuna aliye na tabasamu ndani ya nyuso yake maisha yanaenda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.