4 7mbatizaji
JF-Expert Member
- Dec 8, 2019
- 5,974
- 6,776
Code, ???? , Mfateni akawapeni code ,mnayoita code mie simo, najua Gwajima Cha mtoto KWa mzee wa upako, japo hajiona anajua kila kitu ,asema bwana,2015 WAKATI mzee wa upako anatoa au kuidi mchango wake KWa Lowasa si chin mil MOJA pale mlimani city, Gwajima yupo busy mjibu SLAA NA MKE WAKE pale hotel maeneo ya River side ,jina limenitoka ila nilikuepo , msafara wa Gwajima ulikuja yeye akiwa kwenye Gari yake ya Hammer,Mkuu umegusa kitu kwa Mzee wa upako, hebu funguka hata kwa codes basi?
Kweli kipindi hicho alikua kweli amesimama Kama Askofu, na ni kweli watz walimpenda, nikiwapo mie KWa kusimamia haki,ila Gwajima wa 2015, akisima na Gwajima wa 2021 watatoana makamasi nasema,