Ila pia kaula maana kupata cheo cha brigedia sio mchezo. Unaweza kuwa na sifa na bado usikipate. So kwake imekuwa shortcut
Sent using Jamii Forums mobile app
Uzi una mwezi mmoja tu tangia ianzishwe ila imekuwa ndefu balaa.
Lakini pombe inaleta watu pamoja... Wote ni WALEVI bila kujali kanywa pombe ya aina gani... Akinywa
Balimi..............ataitwa Mlevi
Serengeti........ataitwa mlevi
Gongo.............ataitwa mlevi
Dompo.....................mlevi...
Sasa unadhani kazi ya aina hiyo atafanya mtu mwenye division one?? Hiyo kazi ni ya hao hao unaowaona wamefeli. Tena wanaifanya vizuri, kama ni kipigo wanakupa kipigo cha maana.
Wenyewe wanasena NGUVU NYINGI AKILI KIDOGO
Kweli kabisaa mkuu. Wife akitoa ushirikianao wa maana wala hakuna haja ya mchepuko.
Kwa kifupi mchepuko ananufaika kwa sababu ya udhaifu wa wanawake walioko kwenye ndoa zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.