Siyo lazima utafutie kijijini kwenu hama, tafuta mahali penye mzunguko mkubwa wa pesa anza biashara hapo lkn huko usangini na ugwenoni kutoboa ni ngumu kwasbb wapo nguli ambao wnana kujua abc zako
Issue ya mahusiano haina formular ndugu , labda Kama hao wazungu umehadithiwa tunna huja ishi nao.
wanachangamoto nyingi sana Kama waafrika tu na inaweza kuwa wao ni zaidi ndiyo maana wakaona wawe na ndoa zamikataba.
Pole kwa usahaulifu, kupotea, kusahau na kuibiwa ni jambo ambalo hutokea pasipo kutarajia (accident). Kama umefanya juhudi zote hizo na bado hujafanikiwa nikushauri tu jifunze kuachilia na kuendelea na maisha mengine.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.