habari zenu,
ningependa kufahamu wangapi wameshakisoma hicho kitabu na walitumia mbinu gani kukielewa na waliokota nini humo,Mimi ninayo copy yangu Ila inaniwia ngumu sana kuelelewa
nikweli kabisa,sio drugs tu atarudi akiwa hana upendo na babaake yeye ni marafiki zake tu wa states tena kama Huyo ndugu atakua amepigika ndio atamzarau kabisa,mtoto mlee ktk njia impasayo akiw MTU mzmima umpeleke sasa states mana pia hujui atapa uangalizi gani huko kama anauwezo wa kimtunza...
ndugu usimjudge MTU kwa physical appearance kwani hiyo hubadilika sana,utamuoa uyo mwenye inye halafu akishazaa utamchoka tu na utarudi kwa vimoso,SAA iyo haeleweki ni yuko Ka michelin hamu itaisha tu,
kuna Dada hapa jirani ni moja kati ya wanaotingisha mtaa kwa uzuri,Ila hiyo ni baada ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.