Mchumba amepata mimba na mimi najenga

Mchumba amepata mimba na mimi najenga

Kwao ndio walompA MIMBA????

Wakati unamqaga hukujua ni mbolea hiyo imerutubisha????

Anyway
Tembo hashindwi kubeba mzugo wake
 
Habari zenu wadau,

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24,ninamchumba wangu ana miaka 20 tunapendana sana lakini hivi majuzi ananiambia hajidikii vizuri na hajaona siku zake ambazo hua zinawahi lakini Leo ndio alitakiwa apate hedhi.

Anadai ana mimba yangu lakini changamoto inakuja kwamba Mimi naishi na wazazi na ndio nimeanza kuchimba msingi nijenge na nilimwambia asubiri nijenge niende kwao lakini sasa majukumu yamekua mawili nashindwa nifanyeje, nimwambie aende kwao ili nimalize ujenzi au nipange chumba nimuoe kabla mimba haijawa kubwa ujenzi usubiri.

Life is not a rehearsal, it's a perfomance. Uliyavulia nguo, yaoge.
 
Hongera sana, maana unajenga na hawara mjamzito, hivyo vyote havitegemeani, inwards kuvifanya Pamoja.....
 
mkuu uliweza kuchagua ua moja kati ya maua mengi Tanzania ambalo ndo huyo bint mjamzito sasa kuchagua kitu kimoja kati ya viwili sijui nn kinakushinda....
uhai ni muhim zaid ko chagua mimba

nimekupata mkuu
 
Back
Top Bottom