Mchumba amepata mimba na mimi najenga

Mchumba amepata mimba na mimi najenga

Bora ww ndo mimba bado ndogo mm ilinikuta mafundi wanajenga hrf mtu anapelekwa hospital kujifungua balance niliyoweka haikutosha ilibidi nizuie mafundi kujenga nimalize tatizo daaaah nilidata
 
mi sjaona uhusiano bado. ko ukijenga na akiwa na mimba nini kinatokea au ni mwiko kwenu?

sio mwiko,ni kwamba tu napaswa kuchagua moja kulingana na kamtaji nilikokua nako,nikawa nimeshindwa nianze na lipi
 
Bora ww ndo mimba bado ndogo mm ilinikuta mafundi wanajenga hrf mtu anapelekwa hospital kujifungua balance niliyoweka haikutosha ilibidi nizuie mafundi kujenga nimalize tatizo daaaah nilidata

ndo ivo asee na mm mdogoako yamenikuta
 
Hrf kupata mtoto mapema ni furaha kwako Kuna watu wanatafuta hawajapata mtunze mchumba wako kwa msingi bora nyumba utajenga tu
 
Usiogope mtoto.

Hapo ndio utapata spidi zaidi
 
nimekua nikilinfa zile Siku salama na sikutegemea hill kwa sasa,na yeye ni kama amefurahia iyo hali hata dadaake ananichangamkia kuliko awali,sikuwa napanga kujenga ndani yake

Usikimbie majukumu,pambana mpaka utoboze
 

Attachments

  • 1442074562802.jpg
    1442074562802.jpg
    7.6 KB · Views: 185
kama unampenda mkuu fanya maamuzi yenye busara sana....!!!!
 
Mimba ni miezi 9, kwahyo kama una kipato kizuri na umejipanga ndani ya hiyo miezi 9 unaweza kuweka msingi na ukasimamisha chumba! Hongera kwa vyote!
 
Ungesubiri pia kwa tendo la ndoa (uzinzi) haya yote yasingetokea.
Mimba ni jukumu lenu wote wawili, tafuta namna ya kuishi na mwenzio.
 
Back
Top Bottom