hivi inakuaje kwa mfano mtu una mpnz wako afu mnagombana mara kwa mara halafu hata kama una hasira ye anataka mfanye huku mmegombana yani imefikia point mmekwazana na mmeafiki kuachana unamuomba akuletee vitu vyako uliviacha kwake anakubali kuleta then baada ya kukuona tu badala akupe mzigo wako...
hivi kama humtaki mtu si umuambie tu kistaarabu kama ulivyomtongoza ndo umwambie ukweli kuliko kumfanyia visa inauma jama..wanaume kuweni na huruma wenzenu tukipenda tunapenda kweli nyie mnatamani tu mkishaonja mpiko mnasepa kimya kimya khaaa hivi hamjui uchungu wa mapenzi? mwaya huyo mtu ndo...
Dah pole sana sister Muombe Mungu tu atakusaidia...ila ni ngumu sana kupata mume ukiwa na watoto mimi nina mtoto mmoja tu lkn mpaka sasa sijapata mume na ukiniangalia hadi nikwambie nina mtoto tena wengi hawaamini coz hata Kifua changu bado kibichi utadhani sijanyonyesha...ila sijakata tamaa coz...
my dia niko kwenye mahusiano na mtu ambaye alitendwa kama wewe unavyotaka kumtenda lecture...sasa mwenzio sa hv analazimisha kurudi kwa nguvu kule alikoenda kashaumizwa hana pa kukimbilia karudi huku kakuta watu tumesha cover wats goes arround comes arround.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.