Kwani CCM ndiyo waliyomtuma ahame,si alihama mwenyewe baada ya kuona Chama kina MWENYEKITI HANA UKOMO WA NAFASI HIYO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninawasiwasi na nguvu za hawa watu wawili kiutendaji nachelea kusema wamechoka hivi hakuna vijana wengine wenyekuweza kushika nafasi zao kwa maana kwa muonekano wa hii picha mimi nasema hakuna la ziada na ninadhubutu kusema inatosha na wanahitaji kupumzika jamani.
Uko sahihi na hata mimi nimekuwa nikiwaambia hao wanao jua wizi wa elimu ya mkuu wa Mkoa husika nendeni mahakamani si ushahidi mnao unaogopa kufika mbele ya mhimili huu na kumfungulia mashitaka.
Kwa matokeo ya UYUI Tabora vijiji 14 CCM na 1 CHADEMA, 51 VITONGOJI CCM na 7 CHADEMA.Kwa aina hii ya matokeo nasema bila kumung'unya maneno KAZI IPO NA SAFARI BADO NGUMU KWA UPANDE UPINZANI TANZANIA.
Nijambo zuri hususani kwa Waafrika ukitembelewa na mgeni kwenye mji wako na wewe mwenye mji uwepo au ukawepo.
Labda Mbunge wetu awealikuwa na kazi nyingine za ujenzi wa Taifa kinyume cha hapo sioni hasa lengo la yeye kukosa kwenye uzinduzi wa mambo ya maendeleo kwenye jimbo lake,tukumbuke...
Ni uhalifu na wahalifu kama wahalifu wengine na si KIGEZO cha kusema nchi si salama kikubwa tu ni kwenda kwa nguvu zote kwenye haya mapori ya mkuranga na kufanyausafishaji wa nguvu juu ya hao VIBAKA na majangili.
Lakini sijapata kujua mpaka sasa kwani wengi wetu tulitegemea ukweli gani au upi kutoka kwa wahanga.Ila pamoja na kudai vyeti kutoka kwa mkuu wa Mkoa lakini mimi nasema huyu jamaa ni jiniasi ALIVYOTAMKA MPAKA JUMAPILI WATAKUWA WAMEPATIKANA KWA IMANI WABAYA WAKE WAKASEMA HAPAHAPA NA NGOJA...
Kocha mzuri mara nyingi kabla ya timu yake haijaingia uwanjani husisitiza jambo la kucheza kitimu na pia huwaelekeza aina ya mfumo wa uchezaji ukiwa uwanjani mnaotakiwa kuucheza au kuutumia mkiwa uwanjani,sasa niambie nini hatima ya mchezaji anayecheza tofauti na maelekezo yake kocha ni...
Hapana na suala la kutumbualiwa huweza kumtokea mteule yeyote yule na wala si kitu kigeni,kubwa ninaloliona hapa kunawatu walishajiona kama wao ndiyo wenye Chama kwamba hata akienda tofauti na aliyemteua hawezi kumfanya kitu,lakini kwa hili nampongeza mkuu wa kaya kuonyesha uimara wake katika...
Jamani kwani mtoa uzi kunamahala kakosea?kama kakosea ni wapi?na kama yupo sahihi kwanini tusiungane nae ktk kuhakikisha suala la democrasia lisiwe kwa serikali tu bali hata vyama vyote vya siasa hapanchini vizingatie hilo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.