Barua ya diwani wa CHADEMA aliohamia CCM Arumeru aomba kurudi CHADEMA

Barua ya diwani wa CHADEMA aliohamia CCM Arumeru aomba kurudi CHADEMA

MIE SIJAWAHI KUUNGA MKONO LUMUMBA LAKIN KTK HILI LA BARUA NAOMBENI MNIAMBIE SANDUKU LA BARUA HAPA NI NGAPI?

5acf290301328bc74df6dbd51596a0ba.jpg
 
Wamkazie tu asirudi cdm,Atie akili

Ova
 
Wewe ni mke wa Diwani huyo mpaka ukane kwa niaba yake? barua kaisaini na hajakana kuwa kaandika yeye. Acha uzwazwa ndugu
Huyo Diwani amekuwa Okwi. Chadema mmemununua sh. ngapi. Kwani alipohama Chadema kwenda CCM mlidai alipewa pesa sasa amerudi Chadema amenunuliwa sh ngapi ?
 
Haya kama ni yeye mbona hajatangaza kama alivotangaza kua anahama kichaka hiko cha mafisadi na watetea mabepali? Kama ni yeye weka clip au sauti yake apa.. mwafa nny na mbinu zenu za darasa la pili
Aiseee....sasa mtu kama kaandika barua wewe unataka clip,unataka hiyi barua ndo ianze kuongea au.....si usubiri ukweli utajulikana tu muda si mrefu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii barua aliiandikia jela?mbona uraiani stationary Ni nyingi tuu?
 
Back
Top Bottom