Ufipa-Kinondoni
JF-Expert Member
- Jan 3, 2012
- 4,582
- 2,783
Mimi nimekubali kuwa .... Ni leo pale Maalim Seif alipomtembelea Lowassa.
CHEERSMimi nimekubali kuwa .... Ni leo pale Maalim Seif alipomtembelea Lowassa.View attachment 505463
Anamaanisha mkono wa Lowasa haunyooki. Wewe huoni?Picha inaongea nini we msukule wa Lumumba
HaposaDu Maalimu kazeeka!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Maalim.ni chadema nn?Tanzania bana kila mtu anajifanya bora mahalim amedanganywa nini sijui hivi wewe mahalim wewe ni muhislam safi sala tano lakini mbona umuwogopi mungu wako unakumbuka pale mwenbe yanga temeke Huyo mwezio mulimwita jina gani wallahi kila jambo LA kheri linatoka kwa mungu na kila jambo LA Shari linatokana na nafsi yako mfano huu ni kama mahalim kukosa uraisi visiwani na Hugo mweziwe kakosa uraisi bara wallahi m/mungu ni mkubwa
Kutabiri kifo sio kusema utakufa kwa sab kila kiumbe kitaonja mauti kosa ni kusema au kutabiri utakufa lini kwani kufanya hivyo kunaashiria ushiriki wako katika kumuua mtu huyo hiyo siku ikifika au unajua siku ya kufa ina maana watakaomuua mtu huyo unawajua lkn kwa makusudi huendi kuripoti polisi.Hivi Kamanda Lema si alisota rumande miezi 4 kwa kumtabiria kifo Bwana yule?
Hivi kwa nini Jeshi la Polisi halimdaki mtu huyu kwa kuwatabiria vifo Maalim na EL?
Kama mtu huyu hatadakwa basi tutajua kuwa kumbe Jeshi letu la Polisi linafanya kazi kwa DOUBLE STANDARD ya hali ya juu!
Kuna kitu haujakiangalia kwa jicho la tatu katika siasa za nchi hii.Hivi maalim Seif ana umri gani? Mimi nadhani alipofikia panamtosha... Sasa arudi kijijini kulea wajukuu... We mtu tangu mwaka sabini unautafuta urais hadi leo tu hujachoka? So far alipofikia kwenye umakam sio pabaya... By the way kipindi cha utawala wake hakukua na mabadiliko ya maana kwenye maisha ya Wazanziberi, hata akiupata huo urais wenyewe, hakutakuwa na cha maana atakachofanya zaidi ya kuiburudisha nafsi yake...
Hujawahi hata kusoma ramani. Au hujasoma (Engineering) drawing?Picha inaongea nini we msukule wa Lumumba
Vipi tuambie waliko wakina sita waliokuwa wana mnanga kila uchao?Mimi nimekubali kuwa .... Ni leo pale Maalim Seif alipomtembelea Lowassa.View attachment 505463
Unauliza jibu? Hawana aibu hawa watagombea!Hivi watagombea tena 2020?