Recent content by emmane farms

  1. emmane farms

    Ufugaji bora wa kuku

    MBINU ZA KUKINGA KUKU DHIDI YA MAGONJWA Tunafahamu kwamba magonjwa ndio chanzo kikubwa cha kukatisha ndoto za mfugaji kutokana na ughali wa bei za dawa au vifo vinavyosababishwa na magonjwa hayo. Lakini upo uwezekano wa kuyaepuka hayo ikiwa tutazingatia yafuatayo kwa uangalifu mkubwa:- Chanja...
  2. emmane farms

    Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

    Bila shaka mkuu
  3. emmane farms

    Ufugaji wa Kuku wa Kienyeji na Masoko yake

    Ufugaji wa kuku wa kienyeji unaweza kuimarika kupitia uzalishaji na utunzaji sahihi Wafugaji wengi wa Tanzania wanafuga kuku wa kienyeji. Ndege hawa kwa kawaida wanafugwa sehemu za vijijini ambapo wanaachiwa huru kuzurura. Kuna uwezekano mkubwa sana wa kizazi kujirudia kwa kuwa jogoo anaweza...
  4. emmane farms

    Nataka kuacha kazi niwe mjasiriamali, naombeni ushauri

    Piga chini,watakuja huku watakuambia usubiri lkn km nafsi yako inakwambia uko tyr piga chini,eti ujipange mpk biz ikue,nakwambia utakua unajiambia hivyohivyo na kwa sababu uko bize na biashara ya mtu mwingine yako inakua inasuasua,hayo masaa labda 8 unayotumia kujenga biashara ya mtu imagine...
  5. emmane farms

    Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

    Hiyo ni bei ya kati ya muda huo,mayai yapo tray 12k.
  6. emmane farms

    Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

    Karibu,bei sh 2000 kifaranga na elfu 10 tray utakaloleta mwny kutotoleshewa.
  7. emmane farms

    Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

    Soma tangazo vizuri mkuu,kifaranga buku 2 na bei ya tray unaloleta utotoleshewe ni buku 10.
  8. emmane farms

    Tunatotolesha na kuuza vifaranga chotara

    Kama heading inavyosema,tupo mbezi louis tunapokea oda za vifaranga kienyeji chotara wa siku moja hadi 7 kwa bei ya sh 2000 kifaranga kimoja, na bei ya sh 10,000 kwa tray km unataka kutotolesha mayai kwetu. PM,piga,text au WhatsAp namba hii 0657666740,karibuni.
  9. emmane farms

    Hawa kuku wa Malawi wanakula sana, watanifilisi

    Nakushauri mchana wkt wanapumzika usiwape chakula,jioni walishe
  10. emmane farms

    Ni kweli Adam na Hawa waliishi miaka takribani 900?

    Kama Musa ndo kaandika kitabu cha mwanzo na kutoka pia na tunaamini vyote hivyo ikiwemo amri 10 za Mungu,kwnn inakua shida kuamini vitu vngne alivoandka,mm sioni kw nn iwe shida kwa adam na hawa kuishi umri huo since dhumuni la Mungu ilikua waishi milele,maamuzi ya Mungu binadamu aishi miaka 120...
  11. emmane farms

    Nataka nifuge Kuroiler niwauze Chrismass

    Km lengo ni uzito,kuroiler ukimlisha vizuri ndani ya miezi minne anaweza kuwa na uzito mzuri,lkn ukianza ss hv kwa december atakua na miezi mitatu,inwz isikulipe.
  12. emmane farms

    Hawa kuku wa Malawi wanakula sana, watanifilisi

    Isikutishe,kwa uzoefu wangu kuku huwa hatosheki,so ww la kufanya ni kuwapangia ratiba tu ya kula,sio kuwapa chakula muda wote,wape muda wa kupumzika kula pia,la sivyo ni kweli utajikuta huoni faida yoyote.
Back
Top Bottom