Kati ya hayo maswali mimi ntakujibu moja tu, kuhusiana na wingi wa mashahidi wa Yehova kwa Tanzania, Mbeya ni wengi zaidi kwasababu ya ukaribu wake na Zambia, kumbuka kwa AfriKa, Zambia ndio nchi yenye mashahidi wengi wa Yehova, ni zaidi ya laki 4 na wao jukumu lao kubwa ni kuhubiri pengine...