Recent content by Emiritus

  1. Emiritus

    Body spray gani au pafyum gani ukizichanganya zinatoa harufu ya kigentleman?

    Sio laki moja ni milioni, unaambiwa hiyo inayoitwa sijui aventus creed bei yake ni $425 sasa hii si milioni kabisa.
  2. Emiritus

    Kwanini binadamu akichomwa moto sehemu za siri huwa haziungui?

    Hahah mkuu hayo sio mawazo ni swali tu, afu jamaa kakimbia sijamuona tena
  3. Emiritus

    Jux apokelewa Nairobi kama Uhuru,mitaa kadhaa ilifungwa

    Kabla hatujakujibu utueleze kwanza 'wakakunywa' ndio nini?
  4. Emiritus

    Kwanini binadamu akichomwa moto sehemu za siri huwa haziungui?

    Umenichanganya sana mkuu, jinsi ulivyoandika 'aka babu'... unatunza dushe au papuchi?
  5. Emiritus

    Clouds Media Group watangaza kusitisha tamasha la Fiesta Dar

    Hao jamaa huwa siwakubali ila kwa hili wameonewa sana
  6. Emiritus

    Watanzania, kuna battle ya BBC na Local media Houses.

    Futa uandike upya maana hujaeleweka kabisa
  7. Emiritus

    Sweden: Tanzania's ambassador, Dr. Slaa called to the Foreign Ministry for a reprimand

    Hapo sawa, naona mtoa mada atakua amekosea kidogo
  8. Emiritus

    Utitiri wa wanamuziki wa hovyo unawabania wenye vipaji vya kweli

    Mbona hujamtaja huyu kijana mbabaishaji kuliko wote anaejiita bilnas?
  9. Emiritus

    Last seen ya ONTARIO ni Tarehe 13/01/2018, Je alipatwa na nini huyu kijana?

    Maumivu yalishaisha zamani sana mkuu na Ontario ana nafasi yake kwenye hustle zangu za fx
Back
Top Bottom