Recent content by emiliani mwaliga

  1. E

    Niapply chuo gani kusomea Doctor of Medicine(MD)?

    usiweke adisi kwenye vitu vya ukweli km una 1 ilioshiba we apply utapata bt otherwise check faculty zngne co lazima hiyo ya dental surgery
  2. E

    Nimepangiwa chuo ambacho kimefungiwa, nifanyeje?

    yac kmefungiwa kwa bachelor tu ..dipl stil bdo wanapokea
  3. E

    Msaada nataka nisome kozi yoyote ya afya ya mwaka mmoja

    co lazma uwe ulisoma PCB hata CBG afya unaenda
  4. E

    Niapply chuo gani kusomea Doctor of Medicine(MD)?

    optometry inasoko mkuu unapata we apply tu
  5. E

    Dawa ya kuzuia upara kichwani

    sio ustaarabu kudharau point ya mtu
  6. E

    Nilitamani sana udaktari ila kwa hili lazima nibaki chuo

    mawazo finyu hayo dctor ndo kila ki2 acha kuptxha wa2
  7. E

    Msaada kwa anae ifahamu shule ya Makita secondary school

    maana nmechaguliwa huko axa form zake wanadai hadi uzifate au upate mawacliano ya shulen hapo axa km naweza kupata msaada juu ya hlo ndugu zangu
  8. E

    Msaada kwa anae ifahamu shule ya Makita secondary school

    naomben msaada wenu wana jf kwa anae ifaham shule ya makita
  9. E

    Msaada .....

    wadau kwa anaye ifaham shule ya makita naomba ansaidie
  10. E

    Nahitaji Android app inayoweza kupachika kichwa kwenye kiwiliwili cha mtu tofauti

    mm nahtaji hyo program ila ya kwenye pc km kuna m2 anaijua ntajie jna lake ili nii download
  11. E

    Hivi ukimfumania mwenza wako utafanya nini?

    dah! najua hao hawawez kuachana ila wataendelea tena kwa kujfcha zaid nikumuacha2 ndo kilicho bakia hapo
  12. E

    Kwanini baadhi ya Wanawake hawavai Chupi?

    hahaha! hawana lolote wanataka ku2tega2
Back
Top Bottom