albert-albert
Member
- Jul 14, 2013
- 15
- 3
Habari zenu wanajamvi,
Poleni na majukumu, naomba msaada wa mawazo.
Mimi niliomba kudahiliwa higher diploma ya education pia ordinary diploma za afya kupitia NACTE. Wamenipa ordinary diploma in medical laboratory chuo cha St. Francis ambacho nasikia kimefungiwa.
Nifanyeje jamani?
Poleni na majukumu, naomba msaada wa mawazo.
Mimi niliomba kudahiliwa higher diploma ya education pia ordinary diploma za afya kupitia NACTE. Wamenipa ordinary diploma in medical laboratory chuo cha St. Francis ambacho nasikia kimefungiwa.
Nifanyeje jamani?