Recent content by Emega

  1. E

    Hivi UDSM kunautaratibu wa kufanya late application, masters degree?

    Kama application window Bado inasoma. We jaribu kuapply mara nyingi nafasi za postgraduate hazina competition kivile. So jaribu kuomba
  2. E

    Aliesoma BSC with education anaweza akawa mkufunzi wa chuo Cha ualim ngaz ya diploma?

    Inawezekana kabisa. Kuna mwaka waliajiri Bsc na BA education vyuoni bila kubagua. Ingawa tangu mwaka 2014 hawajaajiri wakufunzi wapya vyuoni. Na utaratibu mpya uliopo kwa sasa ni kuwapromote walimu wenye sifa kutoka secondary kulingana na mahitaji ya wizara
  3. E

    Vyuo bora vya clinical medicine(private) Dar es Salaam

    Ameomba vyuo vya private sio vya serikali
  4. E

    BSC with education vs diploma in nursing and mildwife

    Sahihi kabisa. Ila kwa kozi yake ya nursing gharama ni chini kidogo ukilinganisha na Clinical officer. Difference haizidi laki 2
  5. E

    BSC with education vs diploma in nursing and mildwife

    Okay vizuri. Kama wazazi wanamudu hiyo gharama ya nursing ni vizuri. Nakutaka familia mmpe Uhuru na mtoto wa kuchagua nini anapenda. NB ada ya nursing sio hiyo tu uliyosema kumbuka kuna michango ya Nacte mingi mfano nacte registration 15,000/=, mtihani wa semister 150,000/=, uniform bila...
  6. E

    Kuhusu udahili wa kozi za afya awamu ya pili 2021/2022

    Udahili kwa vyuo vya serikali walishafanya na selection tayari. Nadhani kwa sasa wamefungua dirisha la maombi kwa vyuo vya Afya vya private. Cha kufanya kwanza Chagua chuo unachotaka akasome kisha ingia kwenye website ya chuo husika utaona link ya application. Hata joining Instructions ya chuo...
  7. E

    Udahili wa NACTE Septemba intake 2021/2022

    Wasiliana na Chuo husika. Unaweza pata mawasiliano yao kwa kufunga website ya chuo husika utapata namba ya simu wapigie kwa msaada zaidi
  8. E

    Mimi ni mtumishi wa umma, kuna uwezekano wa kusoma kozi tofauti na kada niliyopo?

    Recategorization inawezekana kwenye utumishi wa umma. Changamoto ipo kupata ruhusa ya kwenda masomoni kama ni chuo unaenda kusoma full time kwa mwajiri inakuwa haina tija. Kwanza niulize unataka kusoma course ya mass communication ili ufanye kazi gani hapo halmashauri baada ya kuhitimu? Je...
  9. E

    BSC with education vs diploma in nursing and mildwife

    Kimsingi course zote ajira sio shida sana. Nimeona hapo mwishoni umesema kiuchumi wazazi hawapo vizuri. Tambua kwamba endapo atanda Nursing & Mildwife atahitajika kulipa ada ya chuo pamoja na meals and accommodation. Lakini Bsc Education kuna uwezekano mkubwa kupata mkopo wa HESLB kwenye...
  10. E

    Tupeane uzoefu kuhusu nanotechnology -nano medicine

    Upo sahihi mkuu kwa nchi zinazoendelea iko hivyo. Lakini kwa nchi za ulaya na marekani nanotechnology na biomaterials zimeanza kuibuka miaka ya 1960s. Kupitia hii nanoparticles wataalamu hivi sasa wanadetect kwa haraka magonjwa mengi ya binadamu kama vile cancer na kudevelop matibabu yake...
  11. E

    Hivi mtu mwenye ufaulu huu anaweza kusoma kozi ya Optometry?

    Kuwa specific, Optometry kwa level gani certificate, diploma au degree ? Kuhusu hiyo aya ya mwisho huwezi chaguliwa na Chuo halafu ukawa huna minimum qualifications za Nacte. Vyuo vyote wanafuata guidelines za Nacte na TCU.
  12. E

    Niulize chochote kuhusu HESLB, NACTE na TCU

    Swali. Je kuna second selection ya vyuo upande wa Nacte ? Najua kuna nafasi huwa zinatokea vyuoni baada tarehe ya mwisho kuripoti first selection.
  13. E

    Udhamini elimu ya juu

    Aaa kweli ulipambana sio kidogo. Huwa naona vijana wa chuo wanapita mtaani wakiwa na barua kutoka kwa DC pia fomu za kuomba msaada wa ada
  14. E

    Udhamini elimu ya juu

    Ulipambanaje mkuu kwa laki na nusu mkononi? Najua vyuo vya afya ada ni kuanzia milioni na kuendelea tena vya serikali. Ukizingatia msosi anajitegemea mwanafunzi
Back
Top Bottom