Ndugu wadau, kunakijana kapata admmsiion mbilihadi sasa,, 1.BSC with Education--St Johns University-Dodoma na 2. Diploma in Nursing and Mildwife-Kibondo school of nusring
Huyu binti alimaliza CBG na division 3 ya EEC. Jamana kwa uzoefu na hali ya maisha ya sasa na kwa uzoefu wa kozi hizo husika, unaweza kumushauli asome ipi kati ya hizo.
NB hiyo kozi ya bSC ataweza isoma kama akipata labda mkopo kwani uwezo wa kiuchumi kujisomesha hawezi.
Asante kwa kutoa ushauri
Huyu binti alimaliza CBG na division 3 ya EEC. Jamana kwa uzoefu na hali ya maisha ya sasa na kwa uzoefu wa kozi hizo husika, unaweza kumushauli asome ipi kati ya hizo.
NB hiyo kozi ya bSC ataweza isoma kama akipata labda mkopo kwani uwezo wa kiuchumi kujisomesha hawezi.
Asante kwa kutoa ushauri