jooohs
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 2,065
- 8,584
Naombeni kuuliza kitu wakuu, nimebahatika kupata mtu ambae amekubali kunilipia gharama za masomo postgraduate.
Kwa vile sikuwa nimejiandaa ,nimekuja gundua deadline kwa october intake imeshapita, sasa nilikuwa na uliza,
Kuna utaratibu wowote ninaweza kufanya nikajiunga na masomo kwa huu mwaka november,
kwenye tangazo lao deadline inaonesha mwisho ilikuwa ni september, ila ukienda kwenye system yao ya admission inaonesha bado wanaendelea kupokea watu.
Jee kuna utaratibu wowote wa kufanya late apolication maana niliwai sikia kuna kitu kama hiko? Anae jua anipe muongozo.
Natanguliza shukran
Kwa vile sikuwa nimejiandaa ,nimekuja gundua deadline kwa october intake imeshapita, sasa nilikuwa na uliza,
Kuna utaratibu wowote ninaweza kufanya nikajiunga na masomo kwa huu mwaka november,
kwenye tangazo lao deadline inaonesha mwisho ilikuwa ni september, ila ukienda kwenye system yao ya admission inaonesha bado wanaendelea kupokea watu.
Jee kuna utaratibu wowote wa kufanya late apolication maana niliwai sikia kuna kitu kama hiko? Anae jua anipe muongozo.
Natanguliza shukran