Recent content by emanuel prim

  1. emanuel prim

    Nimekosea muamala kutoka CRDB bank kwenda muda wa maongezi

    Wa kampuni gani? Kiasi gani?
  2. emanuel prim

    Changamoto za kuingia utu uzima nimeanza kukabiliana nazo

    [emoji120] Mara zote utupatia kilicho bora.
  3. emanuel prim

    Natakiwa kuwekewa vipandikizi kwenye uume, mirija ni miembamba haipitishi damu nyingi

    Kama utaweza kuzingatia mazoezi ya mwili kidogo, Naweza kufundisha namna nzuri ya kufanya mazoezi ya kegel juu ya tatizo lako?
  4. emanuel prim

    Naomba kujua sababu ya gari kuchemsha (overheat)

    Unatumia maji ya Dawasco au coolant kwenye rejeta?
  5. emanuel prim

    Laptop nzuri ya Programming budget yangu 2.2M

    Cheki hii Core i5 11th Generation 8gb ram 350 MX invidia 256gb SSD
  6. emanuel prim

    Naombeni ushauri, huyu ni mwanamke sahihi kwangu?

    Pole kaka.. ila hapo huna mke. kuna kipindi nilikua kwenye hali kama yako, na kitu kilikua kinaniumiza ni mtoto. Binafsi nilidhamiria kupiga chini, ila katika harakati za kutafuta ni namna gani nitafanya ili Damu yangu isitaabike. Akaondoka mwenyewe Ilinibidi nikatoe na sadaka ya shukrani[emoji3]
  7. emanuel prim

    Nahitaji Mkopo

    Ni mali gani utatumia kama dhamana ya mkopo, endapo ukishindwa kulipa deni ifidie?
  8. emanuel prim

    Utajiri wa rafiki yangu ulivyofanya nikamuamini Shetani

    Inaitwaje hii ndugu
  9. emanuel prim

    Msaada wa haraka: Mke wangu tumegombana usiku, asubuhi hii anatafuta utaratibu wa talaka tugawane mali

    Mwanamke hang'ang'aniwi bro.. Busara ni kumpa nauli akashtaki anapoona inafaa, na kesi yenu mtaisikiliza hapo. Kamwe usionyeshe udhaifu mbele yake, Wala kuonyesha kua yeye ndio kila kitu kwenye maisha yako.
Back
Top Bottom