Pole kaka.. ila hapo huna mke. kuna kipindi nilikua kwenye hali kama yako, na kitu kilikua kinaniumiza ni mtoto.
Binafsi nilidhamiria kupiga chini, ila katika harakati za kutafuta ni namna gani nitafanya ili Damu yangu isitaabike. Akaondoka mwenyewe
Ilinibidi nikatoe na sadaka ya shukrani[emoji3]
Mwanamke hang'ang'aniwi bro..
Busara ni kumpa nauli akashtaki anapoona inafaa, na kesi yenu mtaisikiliza hapo.
Kamwe usionyeshe udhaifu mbele yake, Wala kuonyesha kua yeye ndio kila kitu kwenye maisha yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.