Mhh inamaana next financial year utaonyesha tena 100M as tranfer fee expenses for the some players? Hakuna Auditing huko ulaya? Then what about due diligence, mfano PSV anasema mwaka huu kwenye mapato yetu tumepokea 45M from liverpool kwa mauzo ya Gakpo then Liverpool nyie mnasema tumelipa 10M...
Huu mtazamo upo sawa sana, sijui kwanini watu wanaona Ujenzi ni project lazima iishe sasa, mzee now una miaka 26 matazamio yako miaka 10 ijayo utakuwa na umri wa miaka 36 hapo utakuwa na Mke na labda watoto, wakati huo mambo yanakuwa Mengi sana ukianza ujenzi now taratibu utaona baadae...
U Dj ukipata jina kama lake na unapiga sehemu classic, una lipa sana mana wiki nzima kuanzia jumatano wewe unaingiza hela tena cash na huna mambo ya kodi, mfano labda kila akipiga anakunjiwa 300k kwa siku 4 ni 1.2M kwa mwezi ni almost 4.8M to 5M hapo ujaweka special events.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.