Uwezo wa Mwalimu wa Tanzania kuishi maisha ya ‘Middle Class’ ni mdogo

Covax

JF-Expert Member
Feb 15, 2021
6,289
21,475
Licha ya kua na elimu kuanzia stashahada shahada au masters degree na kufanya kazi masa zaidi ya 8 kwa siku, Ila ukweli ni kwamba Mwalimu wa Tanzania hawezi kuishi maisha ya middle income class kwa viwango vya kimataifa kabla ya kustaafu.

Mwalimu hawezi kujenga residential house ya 70- 120 Milioni. Mwalimu hawezi kumiliki gari la 30m na kulihudumia, hawezi kusomesha watoto 3 shule nzuri za English medium kwa mpigo.

Hawezi kuenda holiday nje ya nchi kwa angalau wiki mbili labda uwe semina ya kikazi. Mwalimu hawezi kuuguza na kutunza mgonjwa wa kansa au wa complication za moyo kwa mwaka moja, kwa kutumia kipato chake chake cha kazini labda akope au arithi mali za ndugu au wazazi.

Tunaomba serikali isaidie waalimu waingie kwenye middle income class kama wafanyakazi wengine na wafanyabiashara.
 
Licha ya kua na elimu kuanzia stashahada shahada au masters degree na kufanya kazi masa zaidi ya 8 kwa siku, Ila ukweli ni kwamba Mwalimu wa Tanzania hawezi kuishi maisha ya middle income class kwa viwango vya kimataifa kabla ya kustaafu.

Mwalimu hawezi kujenga residential house ya 70- 120 Milioni. Mwalimu hawezi kumiliki gari la 30m na kulihudumia, hawezi kusomesha watoto 3 shule nzuri za English medium kwa mpigo.

Hawezi kuenda holiday nje ya nchi kwa angalau wiki mbili labda uwe semina ya kikazi. Mwalimu hawezi kuuguza na kutunza mgonjwa wa kansa au wa complication za moyo kwa mwaka moja, kwa kutumia kipato chake chake cha kazini labda akope au arithi mali za ndugu au wazazi.

Tunaomba serikali isaidie waalimu waingie kwenye middle income class kama wafanyakazi wengine na wafanyabiashara.
Kama vigezo vya middle class income ni hivi hapa sio walimu inawezakuwa nusu yetu wote
 
Ukiacha walimu taja wafanyakazi wengine ambao wanaweza kujenga nyumba ya million 70 Kwa mshahara ..

Wanaweza kwenda holiday Dubai kukaa hotel za vyota tano wiki mbili Kwa kutegemea mshahara ...

Wanaweza kutunza mtu mwenye cancer na kuishi nae bila bima Kwa kutegemea mshahara .....

Kiufupi wafanyakazi wote wa Tz ni masikin ,walimu msiwaandame ...

Huko bot ,tra , port kote mishahara ya wafanya kazi ni ya kawaida tu ,manager ndio wanakula pesa za michongo Kwa njia nyingine ....
 
Ukiacha walimu taja wafanyakazi wengine ambao wanaweza kujenga nyumba ya million 70 Kwa mshahara ..

Wanaweza kwenda holiday Dubai kukaa hotel za vyota tano wiki mbili Kwa kutegemea mshahara ...

Wanaweza kutunza mtu mwenye cancer na kuishi nae bila bima Kwa kutegemea mshahara .....

Kiufupi wafanyakazi wote wa Tz ni masikin ,walimu msiwaandame ...
Mkuu mpwayungu village ana crone nyingi,huyu ni mmojawapo
 
Licha ya kua na elimu kuanzia stashahada shahada au masters degree na kufanya kazi masa zaidi ya 8 kwa siku, Ila ukweli ni kwamba Mwalimu wa Tanzania hawezi kuishi maisha ya middle income class kwa viwango vya kimataifa kabla ya kustaafu.

Mwalimu hawezi kujenga residential house ya 70- 120 Milioni. Mwalimu hawezi kumiliki gari la 30m na kulihudumia, hawezi kusomesha watoto 3 shule nzuri za English medium kwa mpigo.

Hawezi kuenda holiday nje ya nchi kwa angalau wiki mbili labda uwe semina ya kikazi. Mwalimu hawezi kuuguza na kutunza mgonjwa wa kansa au wa complication za moyo kwa mwaka moja, kwa kutumia kipato chake chake cha kazini labda akope au arithi mali za ndugu au wazazi.

Tunaomba serikali isaidie waalimu waingie kwenye middle income class kama wafanyakazi wengine na wafanyabiashara.
Kati ya matabaka Yale !matatu ya kiuchumi hapa bongo,wewe upo tabaka lipi!?
Low class!!
Middle class!?
Upper class!!
 
Ukiacha walimu taja wafanyakazi wengine ambao wanaweza kujenga nyumba ya million 70 Kwa mshahara ..

Wanaweza kwenda holiday Dubai kukaa hotel za vyota tano wiki mbili Kwa kutegemea mshahara ...

Wanaweza kutunza mtu mwenye cancer na kuishi nae bila bima Kwa kutegemea mshahara .....

Kiufupi wafanyakazi wote wa Tz ni masikin ,walimu msiwaandame ...

Huko bot ,tra , port kote mishahara ya wafanya kazi ni ya kawaida tu ,manager ndio wanakula pesa za michongo Kwa njia nyingine ....
Buana sio kweli kwamba wafanyakazi wote wako hoi kama waalimu, kwamfano, wafamasia Mds specialists hupata friged benefits and packages nyingi nje ya mshahara yao mwisho wa mwezi wanaweza kukusanya zaidi ya 5 to 7m hao ni waserikali, private sector ndo hatari sana IT technocratis wa kampuni za simu hupata 23m salary nje na allowances na benefits zingine neenda kwenye mineral, insurance Air, transport ndo utajua waalimu they just exist not living.
 
Nakaribia middle class mkuu na pambana sana nifika tabaka la kati ili niwe na wakika wa kuishi bila msaada au kumuachia Mungu
Pambana mkuu
Ahahahaha
Katika watumishi wote wa Umma,Kila kada Ina maskini na matajiri,usigeneralize
Tupo walimu tunaokula mema ya nchi,na wapo ambao wanasota,hivyo na polisi,madaktari,manesi,wanasiasa na hata wale top cadres
Relax,acha kuuproject dhiki zako Kwa walimu
 
Pambana mkuu
Ahahahaha
Katika watumishi wote wa Umma,Kila kada Ina maskini na matajiri,usigeneralize
Tupo walimu tunaokula mema ya nchi,na wapo ambao wanasota,hivyo na polisi,madaktari,manesi,wanasiasa na hata wale top cadres
Relax,acha kuuproject dhiki zako Kwa walimu
Hahaaaha ana project dhiki
 
Utawalaumu Walimu.
Asilimia 90 ya Watanzania hawana uwezo wa kuishi kama Middle Class, hii imejumuisha wenye uwezo kifedha
Ila kumbuka 90% ya watanzania hawana professional elimu kama ya waalimu, katika nchi hi waalimu wanastaili kuishi middle class income kwasbb ya elimu yao na umuhimu wao, ila ndo kundi linalo tabika kuliko kada wengine.
 
Back
Top Bottom