Dodoma kwa ujumla hamna kitu inabebwa na mjini tu pale wilaya zake zote maisha ni magum sana hamna kitu wanazalisha asilinia kubwa nenda chemba huko sijui kondoa nyumba nyingi ni za tembe zikiashilia uhalisia wa maisha yao
Mkoa kama mbeya kila wilaya ina mchango wake chunya madini, mbali...
Kama nawewe ni single faza oa tu ila kama sivyo sisi tutasubir mrejesho
Mimi siwezi oa single mother kamwe nina case nyingi sana nilizopitia nao eeeh mwenyez mungu nisamehe kwa hili...
Adui yako usimwombee njaa, pendaneni mpende jirani yako kama nafsi yako hii ndio amri kuu nawapeni. Muwe na jumapili njema.!
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.