WanaJF,
Naitaji kuanza kutengeneza sabuni za kufulia kama B 29, Star ya Uganda, Komesha n.k, mimi niko Mwanza na tatizo litakalonikwamisha ni soko sababu mwanzo ni mgumu. Naomba niwasilishe kwenu kwa maoni na ushauri zaidi.
Mzizi mkavu. naomba ushauri mke wangu kila anapofikisha mimba miezi 7 anajifungua njiti na anakuwa anamanjano na tatizo linalomsababishia zaini presha, je ni nini tatizo lake na tiba mbadala yake ni nini?
Haya ni majanga, ukita akupende mliwaze,muandae vizuri kila kona akikisha kila sehemu umegusa, kisha msugue vizuri amalize hata mara 3 au 4 ndipo na wewe umalize au mmalize pamoja hapo demu wako atakupenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.