Huyo jamaa hakuwa tajiri unavyomsema ila alisifika kwa ujambazi wa kupora maduka, na alikuwa na magari ya kubebea mizingo, ukienda mchana unakuta gari zote mbovu ziko juu ya mawe ila jua likizama tu zote zinakua zima. Alikuwa anaibia mbali na wilaya yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.