Kama umekunywa pombe kali ukiamka tafuta mirinda ya baridi. Piga tarumbeta mpaka iishe. Kisha anzwa kunywa Maji yako taratibu. Dakika 10 sio nyingi utakuwa mpyaaa
Uongo ni dhambi kubwa sana. Na linapokuja kusema uwongo kuhusu mshahara ni mara mbili ya dhambi ya uongo wa kawaida. Nyie hamjui tuu watu wapo na hali gani? Kuweni na huruma
[emoji48][emoji48][emoji48][emoji48]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.