Nimekua nikisikia mara kwa mara wachambuzi mbalimbali hasa katika vyombo vya habari ikiwemo Televisheni na Radio wakichambua kuhusu mada za ukuaji wa lugha ya Kiswahili kama vile kuongezeka kwa misamiati na maneno mengine mengi ambayo wao wamekua wakiyaita maneno ya mtaani au maneno yasiyo rasmi...
Barabara naona nzuri tu .,. Kwa jicho langu la mtanzania wa kawaida... Ishu ya kona kali ni technical issue wataalam watatusaidia maelezo maana naona ule ulikua mlima so kona hazikwepeki kutokea .....
Hoja yako ni. Nin hasa mbona wengine wanapitishia mishahara yao CRDB. Kwahiyo hoja yako naona kama haina mashiki sana kwasababu kuna benki nyingine tayari nje ya NMB inayotumika kupitisha mishahara ya watumishi hao wa serikali
Wadau sijaelewa ishu ya kuunganisha mifuko imekaaje .... Nini faida na atheri zake nini kimepelekea kutoka kwenye sysyem ya mifuko mingi kwenda kwenye mifuko miiwili....?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.