Recent content by ellyseniour

  1. E

    Hati ya Mashtaka dhidi ya CAG Assad: Anachomokaje?

    Episeode yangapi hiii...? Sent using Jamii Forums mobile app
  2. E

    Kuhusu ukuaji wa Lugha ya Kiswahili

    Nimekua nikisikia mara kwa mara wachambuzi mbalimbali hasa katika vyombo vya habari ikiwemo Televisheni na Radio wakichambua kuhusu mada za ukuaji wa lugha ya Kiswahili kama vile kuongezeka kwa misamiati na maneno mengine mengi ambayo wao wamekua wakiyaita maneno ya mtaani au maneno yasiyo rasmi...
  3. E

    Zitto Kabwe: Nitampeleka Abdul Nondo Uhamiaji tarehe 20/4/2018 kwa mamlaka yangu kama Mbunge wa Kigoma Mjini

    Leo ndio wanaona hilo...? Walikua wapi siku zote...? Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
  4. E

    Zitto Kabwe: Nitampeleka Abdul Nondo Uhamiaji tarehe 20/4/2018 kwa mamlaka yangu kama Mbunge wa Kigoma Mjini

    Umekula maharage ya wapi....? Jitathmini kwanza kabla ya ku comment Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
  5. E

    Tanzania(Taifa Stars) yanyolewa bila wembe na Algeria goli 4 kwa 1

    Kipigo cha goli 4 kwa Timu yetu ya Taifa dhidi ya Algeria Tatizo la msingi ni nin hasa...? Lakini nini kifanyike tutoke hapa tulipofikia
  6. E

    Mliopita barabara ya Dodoma Iringa mnasemaje kuhusu ubora wa hii barabara?

    Barabara naona nzuri tu .,. Kwa jicho langu la mtanzania wa kawaida... Ishu ya kona kali ni technical issue wataalam watatusaidia maelezo maana naona ule ulikua mlima so kona hazikwepeki kutokea .....
  7. E

    Kuna haja ya Serikali kuondoa Malipo ya Mishahara ya watumishi wa Umma kupitia NMB Bank na kupeleka BANK zingine.

    Hoja yako ni. Nin hasa mbona wengine wanapitishia mishahara yao CRDB. Kwahiyo hoja yako naona kama haina mashiki sana kwasababu kuna benki nyingine tayari nje ya NMB inayotumika kupitisha mishahara ya watumishi hao wa serikali
  8. E

    Namuunga mkono Ester Bulaya kwenye suala la fao la kujitoa

    Wadau sijaelewa ishu ya kuunganisha mifuko imekaaje .... Nini faida na atheri zake nini kimepelekea kutoka kwenye sysyem ya mifuko mingi kwenda kwenye mifuko miiwili....?
  9. E

    Waziri Mpango: Rais Magufuli amenipigia simu kuhusu michango ya Bashe na Nape Bungeni

    Duh Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
  10. E

    Zitto: Tuliambiwa hostel za UDSM zimejengwa kwa bil 10 ila ripoti ya CAG inasema zimejengwa kwa bil 54. Uwongo! Uwongo!

    Tatizo nino kwani...? Sent from my SM-A910F using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom