Recent content by Ellynho47

  1. E

    Misukosuko: Bongo Movie Part 1,2,3

    Movie ya Shamba kubwa vip unaikumbuka?
  2. E

    Misukosuko: Bongo Movie Part 1,2,3

    Movie Shamba kubwa vip unaikumbuka?
  3. E

    Hii picha kila niitizamapo moyo hupata maumivu. Nini ilikuwa hatma ya huyu kijana?

    Huyo jamaa nilikutana nae 2016 dodoma pale majego sokoni kwenye kijiwe chake cha bodaboda, niliwahi kumwonyesha hiyo picha anayo tishiwa kupigwa mawe alikuwa anacheka tu , ni mpole sana huyo jamaa.
  4. E

    Faida na Hasara alizopata Mjomba 'ake Omar kwa Kufuga Majini

    Mmmh! Mjomba ake na omar ni hatari.
  5. E

    Yajue haya majani ni dawa ya vidonda vya tumbo

    Asante mkuu ngoja niyatafute hayo majani.
  6. E

    Utata alipo trafiki anayedaiwa kumpa mimba mwanafunzi

    Naona traffic alikuwa anajaribu kula tunda kimasihara akasahau kutumia mpira
  7. E

    Game gani, na upo level gani kwenye simu?

    Zombie Roadkill nipo level 5 assassin Arscher level 7 Highway Getaway level 28
  8. E

    Gallstone/mawe kwenye nyongo ya ng'ombe

    hivi hiyo kitu ina kazi gani? Maan kuna mzee huwa ananiangiza sana niwe nampelekea, nikimuuliza anakausha hataki kusema
  9. E

    Sammata aipasua ngome ya Liverpool iliyomshinda Messi

    duuuh! Samata kachana mikeka ya wengi
  10. E

    Utafiti: Wavuta sigara ni moja ya binadamu wenye akili ndogo

    kwa hiyo tulio acha kuvuta akili zimeongezeka..!
  11. E

    Nani Mkali wa Voice Over?

    Musa Hussen
Back
Top Bottom