Recent content by elly72

  1. E

    Mke wangu ananiwekea masharti kwenye tendo la ndoa, nimechoka kuvumilia

    Kwa maelezo uliyotoa inaonyesha mkeo hataki kubeba mimba kwa sasa. Tatizo linaweza kuwa ni wewe mwenyewe au yeye. Wanaume tunapenda kuahidi vitu na mipango isiyotekelezeka. Mwanamke akiona hali hiyo na mipango endelevu ya kuitunza familia haieleweki basi ni kuzaaa kwa mpango. Mpende mkeo maana...
  2. E

    Mpenzi wangu ana makosa mengi ya kiuandishi yanayojirudia rudia kila mara

    Mkuu naomba nikupe pole ya dhati kwa kuwa inaonyesha unaweza usije kuoa tena maishani mwako. Niaminivyo mimi ni hatari kumpata mwanamke mnyenyekevu, huyo ni mwanamke atakayekubali kutiii kila unachomwambia. Na hicho ndo kisa ki kubwa cha kuachana na ngozi nyeupe. Kumbuka ndoa mnaungana watu...
  3. E

    Msaada wa kumwona Waziri wa TAMISEMI, nakufa kwa maradhi

    Ndugu Jambazi huyo mtu anahitaji msaada na mimi nimefikisha swala lake kwa mhusika. Amesema anataka aongee nae ili aweze kumsaidia. Lengo ni mwenzetu apate huduma tu
  4. E

    Msaada wa kumwona Waziri wa TAMISEMI, nakufa kwa maradhi

    Mkuu MKWANO. Umeamkaje leo? Nilikwambia jana ueleze jinsi ya kuwasiliana na wewe ili usaidiwe. Swala lako limefikishwa ulikotaka lifike. Natafuta njia ya kuwasiliana na wewe. Kama bado una nia hiyo elekeza njia ya kukupata
  5. E

    Msaada wa kumwona Waziri wa TAMISEMI, nakufa kwa maradhi

    Mkuu naomba utume namba yako ya simu. Ili uweze kusaidiwa hicho unachotaka. Fanya hivyo Mkuu mapema uwezavyo
  6. E

    Msaada wa kumwona Waziri wa TAMISEMI, nakufa kwa maradhi

    Mkuu pole sana. Nashindwa kuamini kama kweli ulimuona Katibu Mkuu wa TAMISEMI na bado haja kusaidia. Katibu Mkuu ninayemjua mimi!!! Naomba kujua kama kweli ulimuona mwenyewe au Msaidizi. Naomba ujibu kwa uhakika. Hata hivyo nina wasiwasi na utaratibu unaotumia kama kweli wewe ni mtumishi wa Umma.
  7. E

    Fezza Kessy ajinadi live live

    Ahaaaa nawaona wanaume wa Dar
  8. E

    Emmanuel Eboue hali mbaya, Mke amfilisi

    So sad
  9. E

    Nimekataliwa Research proposal mara tano, kuwa zimeshafanyika. Naomba nisaidiwe research tittle

    Mkuu pole sana. Ila sijakuelewa naomba ufafanuzi niweze na mimi kishauri. Kilichokataliwa ni research tittle au research proposal? Kama tittle ilishakubalika ilikuwaje wakatae proposal? Nafikiri Mkuu hapo umekosea au umechanganya mambo. Na je huna supervisor wa kukupa maelekezo? Nahisi...
  10. E

    For JamiiForums Mobile users

    [/Hello">
  11. E

    Idara ya Ujenzi iliyokuwa ndani ya Halmashauri,kuanzishwa kuwa Wakala kamili kuanzia Julai 2017

    Mmteule siyo kweli. Katibu wa kikao cha Ulinzi na Usalama ni Afisa Usalama. DAS ana vikao vyake vya kuwa katibu
  12. E

    Idara ya Ujenzi iliyokuwa ndani ya Halmashauri,kuanzishwa kuwa Wakala kamili kuanzia Julai 2017

    Marxplups. Muundo wa Halmashauri unawakilisha Wizara za serikali isipokuwa Wizara ya Ulinzi na Wizara ya Mambo ya Ndani. Halmashauri zipo kwa ajili ya kutekeleza shughulikia zaidi miradi na shughuli za kimaendeleo ngazi za wilaya, Kata na vijiji au mitaa. Wakala watakuwa na Mtendaji Mkuu na...
  13. E

    Idara ya Ujenzi iliyokuwa ndani ya Halmashauri,kuanzishwa kuwa Wakala kamili kuanzia Julai 2017

    The Beast Among Men. Hapo unachanganya watu. Hawataelewa na unawafanya wasielewe. Halmashauri zote sina idara zinazowakilisha Wizara nyingi isipokuwa wizara ya ulinzi na wizara ya mambo ya ndani. Halafu kuna wale ambao wako chini ya Mkuu wa Wilaya yaani Polisi, TAKUKURU, Usalama wa Taifa, na...
  14. E

    Idara ya Ujenzi iliyokuwa ndani ya Halmashauri,kuanzishwa kuwa Wakala kamili kuanzia Julai 2017

    Habari wana familia wa JamiiForums. Idara ya ujenzi ndani ya Halmashauri zote itaendelea kuwepo kama kawaida. Kinachofanyika ni kuhamisha watumishi wachache ndani ya idara hiyo ambao wanahusika na matengenezo ya barabara kwenda wakala mpya wa matengenezo ya barabara katika wilaya. Na bado baadhi...
Back
Top Bottom