Recent content by elly obedy

  1. elly obedy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Serengeti Boys yatinga Fainali ya AFCONU17 2026, baada ya kumuondoa Misri kwa mikwaju ya penati

    Tanzania u17 vs senegal u 17
  2. elly obedy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Akufukuzae Akwambii Toka, Kundi la Tanzania Kombe la dunia wanawake 2026 Poland

    Tungebadilishana na nigeria ingekuwa vizuri
  3. elly obedy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Angola 0 -3 Tanzania | CAF U-17 AFCON | Morocco | 17/05/2026, 16:00 EAT

    Mmh ila Kuko kimya utafikiri hamna kinachoendelea hongera kwao.
  4. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Mwenyezi Mungu ametaka tujifunze kupitia kifo cha Temba

    Tumeona ndugu wengi wa Temba wakiwa Wana Ccm lakini ajabu leo shetani kakosa aibu na kaanza kula watoto wake.😅🤣😂
  5. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Hivi Juma Nature ana umri gani? Mbona hazeeki

    Kuna wanywa pombe huwa hawazeekagi aisee
  6. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Nini kilikufanya ugundue Umri umeenda?

    Unaanza kuitwa wee kaka mara imebadilika wewe Mkaka, mara wew Baba ina kuja wew Mbaba ,ndo utajua hapo muda si mrefu naitwa Babu ila kabla ya kuitwa babu utasikia we Mzee
  7. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  8. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Nyasi zinapendezesha sana neighborhoods za Marekani

    Kweli kabisa
  9. elly obedy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ali Kamwe: Kuna mchezaji tangu kaenda timu nyingine anajitutumua kuliko alipokuwa kwetu

    ULikuta imani ipi hiyo mkuu?
  10. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Orodha ya wasanii waliotoa hit moja kali kisha wakapotea kimyakimya

    Pnc ft mr blue sijui inaitwaje ile ngoma
  11. elly obedy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini derby nyingi siku moja?

    Kwanini siku ya jana na leo kumekuwa na derby nyingi sana kwa mfano derby ya Yanga vs simba Asernal vs chelsea Celtic vs range KAiser vs orlando Marseille vs lyon Bayern vs Dortmund Kwanin siku zifanane? au imetokea tu kwa bahati.
  12. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

  13. elly obedy

    JamiiForums Tanzania Gumzo video za Mrusi Yaytseslav Trahov akiwarubuni wanawake Wakiafrika

    Duh! Hizo pisi kali za kenya ni balaa.
  14. elly obedy

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Niliisapoti Senegal, ila kile walichotaka Kukifanya sikiungi mkono kwani si tu ni Ushamba bali ni Upumbavu na Aibu kwa Soka la Afrika

    sema refa asihofu kazi aliyo tumwa na moroco kaifanya vizuri sema ndo hivyo hakuwa na bahati.
Back
Top Bottom