Wasalaam waungwana, nina mdogo wangu kachaguliwa kwenda msalato, nina wasiwasi kwasababu kuna taarifa zinasambaa kwamba mwanafunzi akishindwa kuthibitisha nafasi yake kabla ya june 10 basi kuna uwezekano wa nafasi yake kupewa mtu mwingine.
Je, ninaweza vipi kuthibitisha uteuzi huu ili nafasi ya...
Wakui hivi kesho nikitaka kuitiza game of thrones HBO ambayo inapatikana kwenye dstv ya kibongo wataionesha? Au nivumilie tu nije kukutana nayo kwenye pirates sites
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hapo naona umeanza kuleta chuki binafsi kwa huyu tajiri....kupewa pesa sio tatizo na kizuri zaidi yeye kapewa pesa na ameweza kuzizalisha maradufu...
Kwahiyo magufuli nae asiwatambue watanzania waliomchagua lowassa kisa tu hawakumpa kura yeye :what: Hao wanatakiwa watambue kua uchaguzi umekwisha na sasa tunahitaji jitihada za kila mmoja bila ya kuleta tofauti ya vyama vyetu ili tuweze kuijenga Tanzania mpya.....
Ulichokisema katika uzi huu kinaweza kua na ukweli ila nadhani muda wa kuanza kusema haya bado...ni mapema sana kujua kama kweli dhamira ya mheshimiwa ni mbaya kama ulivyoelezea hapo juu..especially katika muda huu mfupi aliok?a madarakan ambapo mema aliyotenda ni mengi sana hadi inakua ngumu...
Mie sina unazi na vyama vya siasa lakini kauli yako naona kama haijaenda shule...sasa unasema watanzania wameichoma ccm while 2/3 ya wabunge wote ni kutoka ccm na walichaguliwa na haohao watanzania na kubwa zaidi rais ambae amefanya wananchi kua na tabasam kila siku na kufuatilia taarifa za...
Mtoa mada nadhani uchunguzi wako hujaufanya vizuri...jaribu kupitia comments za hao watanzania unaosema wanamchukia,utagundua ni asilimia kubwa ya watu kwenye social media wanasifu utendaji wake na ukaribu wake na wananchi na pia naamini wananchi wengi wanamkubali mkuu wao wa wilaya....ni kweli...
Mkuu labda kama ulikua kwenye kampeni za somalia...ila kampeni zilizofanyika hapa nchini bwana Pombe alikua kinara kwenye majukwaa na alitumia muda mwingi kuongea na wananchi na inajulikana bwana pombe ndo alizunguka sehem kubwa zaidi ya nchi na kuzungumza mengi sana na wananchi wake...so...
Uhuru wa tanganyika wala haujafutwa...kilichofutwa ni matumizi mabaya ya pesa katika siku hii na rais katoa agizo kwa watu kushiriki hizi sherehe kwa kufanya usafi katika nchi nzima (a very good idea)...maybe kama mimi ndo nimeelewa vibaya
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.