Recent content by elizaberth andrea

  1. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni salama kuanzisha mapenzi na rafiki yako wa karibu (Best Friend)? Shuhuda na Changamoto zake

    asante sana naweza kuwa ni upande wa ukoo wako pia
  2. E

    JamiiForums Tanzania JIJI KUU

    Giza la Jiji lilikuwa si mwanga mdogo tu wa usiku; lilikuwa kiumbe hai kilichomeza kila barabara na kichochoro pindi jua lilipozama chini ya upeo wa bahari. Katika jiji la Dar es Salaam, huku kelele za mchana zikififia, anga lilibadilika rangi kutoka kwenye machungwa yaliyokolea na kuwa weusi...
  3. E

    JamiiForums Tanzania Giza la jiji

    Je ni kweli Dar es salaam ni jiji fumbo kwa vijana wa 2000
  4. E

    JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    athematically and scientifically, what we call a coincidence is usually just the law of truly large numbers at work. In a world with billions of people and infinite daily interactions, incredibly rare events become statistical certainty. Our brains are naturally wired for pattern recognition...
  5. E

    JamiiForums Tanzania Single Mother ananilazimisha kulipa ada ya mwanaye

    wahenga walisema ukipenda boga penda na uwa lake, kwa hiyo budget kujenga sio leo, alipe nusu wewe pia uchangie nusu
  6. E

    JamiiForums Tanzania Mamaake ni Single Mother lakini kamkataza asioe Single Mother

    asikilizemoyo wake unataka nini wakati mwingine awe makini anapofanya maamuzi kabla ya kuoa
  7. E

    JamiiForums Tanzania Kuna Mwanamke alinikataa kabisa baada ya Mimi kijitambulisha kwake ni mwalimu

    endelea kutafuta mke mwema masilahi yanakikomo
  8. E

    JamiiForums Tanzania Baada ya Emmanuel Nchimbi sasa ni zamu ya Mwigulu Nchemba

    hata hivyo kuamini kinachosemwa bila msemaji kutoa tamko si rahisi kuaminika
  9. E

    JamiiForums Tanzania Umewahi kutembea na mpenzi wa rafiki yako?

    ilinichukua muda kuelewa alichokua akikimaanisha sikua na papara nilimuita mbele ya rafiki yangu nikasema ukweli hapo ndo ulikua mwanzo mpya wa kuwa huru upande wangu
  10. E

    JamiiForums Tanzania Je, ni salama kuanzisha mapenzi na rafiki yako wa karibu (Best Friend)? Shuhuda na Changamoto zake

    Wakuu salama, Kuna hili suala limekuwa likinitofautisha sana mawazo na marafiki zangu, nikaona si vibaya tukaleta hapa jukwaani ili tupate uzoefu wa pamoja na kubadilishana mawazo. Wote tunajua kuwa urafiki wa dhati ndio msingi mkuu wa mahusiano yoyote imara ya kimapenzi yanayodumu. Lakini...
Back
Top Bottom