Pia kuna picha moja ya yule kijana aliye mpasua mtto ubongo na kujikata uume kiukwel haikuwa picha nzr kuiweka kwenye mtandao ikiwa ni miongoni mwa picha mbaya zinazo wekwa kwenye mitandao, kwa mtoa mada cyo whats app peke yao hata iyo mitandao mingine TCRA shugulikien hili.
Mi nafikir kupiga punyeto kwa mwanaume hakupelekei ushoga hata kidogo labda wenzetu wanawake watuambia kwa wao vp wanapo jusugua au kupiga nyeto.....Kwa ziada nyeto ni nzr xana ukiweza kuipiga kwa mpangilio maana inakuepusha na majanga mengi
Together we shall make changes, ikiwa na maana kuwa umoja ni nguvu na utengano n udhaifu so lazima tushikane vijana tuwe kitu kimoja ili kuleta mabadiliko ni hayo tu.
Kwa swala laevolution hatupat jibu kamili kwa kuwa tukiangalia ulaya mbona kuna watu weusi wamezaliwa kule na bado rangi yao ni nyeusi tu au tukiangalia maeneo mbalimbali ya ulaya na asia mbona kuna joto na bado kuna wazungu.
Imefika wakati sasa watanzania tujiulize na kujijibu ya kuwa ni nani ambaye anaweza kutupa maisha bora cyo kila siku kulalamika tu tuchague chaguo lakwel hao tayari wameshindwa 2015 cyo mbali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.