Recent content by Elijah ZeMdaga

  1. Elijah ZeMdaga

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Its Monday And TMT is making the second Batch, Group Two We have started and here i am SHOUTING that ONTARIO you are the baddest, The class is so inspiring and awesome. I am learning for sure. BigUp to Ria and all the stuff at the TMT --- You owe us for sure.
  2. Elijah ZeMdaga

    Mrejesho kuhusu Forex Trading: One step at a time, Safari ndio imeanza rasmi

    Appreciation to and Big up to all the team Boss Jeff, Createn and Ria. You guys are unstoppable, you make money for no reason. #KeepItBlue Tukutane Kesho Asubuhiiiii...
  3. Elijah ZeMdaga

    Bringing FOREX from the world to Tanzania - The road to financial freedom

    "Trend is your friend, never trade against the trend" And the trend is FX. Am all in Bigboss ONTARIO #WallStreetAtJangidPlaza #Wolfs Sent using Jamii Forums mobile app
  4. Elijah ZeMdaga

    Lengo la dini ni nini?

    Na mimi nawaza tuuu... Nilisha wahi fikiria kama wewe na majibu sikupata, lakini nilipo muuliza moja ya walimu wa dini ya kikristo kuhusu uwepo wa Mungu na uwezo wake pamoja na contradiction zake Alinijibu kwa swali JE UNAAMINI SHETANI YUPO?? (Akawaweka Sub question je unaamini Uchawi upo?? na...
  5. Elijah ZeMdaga

    Biashara ya spare za magari

    Habari wana wa jukwaa hili adhimu na lenye manufaa katika ukombozi wa kiuchumi, leo nipo hapa kuomba ushauri na msaada wa namna gani ninaweza kuanzisha biashara ya spare za magari. Baba yangu amekuwa dereva wa magari makubwa kwa zaidi ya miaka ishirini sasa, ameniomba ushauri ni biashara gani...
  6. Elijah ZeMdaga

    Biashara ya Kutoa Mikopo (Microfinance): Hatua, Taratibu za Kufuata na Ushauri wa Uendeshaji

    Hello Apologise lady, You can call me on 0719155195 i can help you get through it and Bank of Tanzania acredation. Regards Elly Mdagadzule
  7. Elijah ZeMdaga

    Jerry Muro na Zitto Kabwe, Something familiar

    Edo ZZK ni kama dhahabu kubwa iliyopatikana katika mgodi tasa, kwahio kila mchimbaji atataka aiguse na kuitolea mfano katika kila jambo linalo husu uchimbaji. Watu wanaokaa kusema ya ZZK watasema sana mwaka huu kwa maana yeye ndio mwanasiasa mwenye nguvu akisemama peke yake bila kubebwa na...
  8. Elijah ZeMdaga

    Klabu gani ya mpira Afrika Mashariki ina mashabiki wengi

    Waulizwe swali hili Platinum na Costal Union
  9. Elijah ZeMdaga

    Biashara ya Mtandao: Nawezaje kununua bidhaa kupitia eBay, Amazon

    Habari wana JF, Naombeni msaada wa namna ya kuweza kinunua bidhaaa au kuuza kupitia njia ya mtandao mfano Electronics, Cars, Fashion, Collectibles, Coupons and More | eBay Amazon.com: Online Shopping for Electronics, Apparel, Computers, Books, DVDs & more Ahsanteni.
  10. Elijah ZeMdaga

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    DARE CONSULT INC. Get quick guide on business investment, branding and consultancy. - Company registration - Business Registration - Business Licensing - Tax consultancy - Business planning - Business branding +255 719155195 ellymdagach@gmail.com dareconsult14@gmail.com
Back
Top Bottom