Recent content by Elibariki Makundi

  1. E

    GE2020 Kampeni za uchaguzi wa Rais kwa CHADEMA zitagharamiwa na nani?

    Waliombwa kuchangia, zile ni babari za kutuibia penseli, than unajidai unatuazima ufutio
  2. E

    Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

    Kwa yeyote atakaefanya safari hiyo atueleze kama ni ukweli, bado siamini, na nahisi kama hao walio +ve wanajuana.
  3. E

    Dhana ya kujifukuzisha kazi(absconding) iko vipi?

    Je una ushahidi wa kupewa ruhusa na huyo msimamizi wa kazi? na utaratibu wa ruhusa kazini ukoje, kama kakuachisha kazi akuandikie yeye, na si wewe kuandika barua hiyo, wewe nenda kazini kwa sababu hujafukuzwa kazi bado na usaini kitabu cha mahudhurio kama kawaida, mwisho wa mwezi wasipo kulipa...
  4. E

    Je, mwanaume anaweza kumbaka mke wake wa ndoa?

    Kukubali kuolewa ni sawasawa na kulala bila ch*p*, kama huwezi hilo, inabidi muachane. hiyo ni ndoa gani inayowahitaji kuishi kama dada na kaka?
  5. E

    UKIMWI kwisha habari yake!

    Wamekuwa wakisema hivyo alafu wanapotea wakutuacha tukishuhudia ndugu zetu wakifa siku hadi siku. Nitaamini baada ya kusikia inapatikan Tanzania. Pia watu kadhaa kukiri kupona
  6. E

    Naombeni ushauri wenu na masahada tafadhali juu ya Swala Hili linalo nikabili mwana forum mwenzenu

    Mhh,kweli hiyo ndoa imekuwa ndoano, Ni kweli kama ndivyo ilivyo hata mimi namsikitikia huyo mtoto. Na pia inawezekana hampendi na hapendi kuondoka nae, ila ankukomoa tu kwa kuona kuwa inakuuma ukiwa kwa yeye kuondoka nae, Pia usishangae baadae akamrudisha yeye mwenyewe. Angalizo kwa wanaume...
  7. E

    Sheria inasemaje mdaiwa ukishindwa kulipa deni kwa wakati mlilikubaliana mahakamani

    Nimekueliwa vizuri mkuu, ila inakuwaje kama hakuwa ameweka dhamana yoyote? Je mahakamainaweza kukubali ombi la kuuzwa kwa dhamana?
  8. E

    Tetesi: MSAAADA KISHERIA HII IMEKAAJE

    Kuna kitu sijaelewa, kipindi cha nyuma kulikuwa na sheria takribani zote mtandaoni, By simple searching in search engines Kwa sasa napata tabu sana kuzipata sheria hizo directly kwenye "search engines" Ni kwamba zimehamishwa au zimeondolewa, na ni kwanini? Natafuta pia sheria mpya ya mifuko ya...
  9. E

    Bunge lapitisha Muswada wa Sheria ya Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma

    Nimeenda Ofisi za PPF kuulizia lini wataanza kutoa hilo fao la kuijotoa wakanijibu hawajapata taarifa kuhusu utekelezaji wa fao hilo, Maswali yangu ni kwamba Je, ni wao wanaamua muda wa kuanza fao hilo au ni sheria yenyewe? Na kama watachelewa kuanza ni ipi haki ya Mwanachama kulwazimisha...
  10. E

    Makatazo yasiyo ya kisheria

    Wananfuata mkuu wao, wa nchi ya kuvunja katiba, kutoa matamko bila kujali sheria inasemaje,
  11. E

    Rais Magufuli awasimamisha kazi RPC Kagera Ollomi na OCD, OC/CID, OCS wa Kyerwa

    Kwanini iende kuuzwa Uganda na sio hapahapa Tz? Inammana kahawa inauzwa ghali sana ikiuzwa Uganda kuliko ikiuzwa Tz? Tujiulize: kwanina bei ya kawawa iwe ni ndogo kwa Tz, Mimi naona hao polisi wanawakomboa wakulima kwa kuwapatia mapato ja juu, kulioko huyu mtetezi wa wanyonge wa Tz. Pamoja na...
  12. E

    Msaada wa kisheria tafadhali

    Kwa kupitia mahojiano haya, nimefurahi kwa kuwaelewa na kuchukua taadhari. Asanteni
  13. E

    Uchumi wetu unakua kwa 7%? Uchambuzi wa viashiria (indicators) unaonyesha GDP inakua kwa 2%-3% tu- Zitto Kabwe

    Huyu ndiye stone wete, anafanya kazi ya kukuza uchumi ambao hataki tujue unakuwaje, "watu wachape kazi"
  14. E

    Ni ngumu na ni aibu kujipanga foleni mwaka 2020 kuwapigia CHADEMA kura

    Kazi kubwa ya hicho Chama Cha Manyangau ni kuzuia chama kingine chochote kiiingie madayakani Kwa sababu wanayajia yatakayofuata CDM naipenda lakini kwa sasa naona imepoteza auimepotezewa dira Labda wanajopanga kimya kimya then watufanyie suprise
Back
Top Bottom