Recent content by Elias Urio

  1. E

    JamiiForums Tanzania Freemasons Inside - Out: Who are they? How they operate? How to join them?

    Duuuh i know nothing about this group Sent using Jamii Forums mobile app
  2. E

    JamiiForums Tanzania Polisi aliyemkodi mwenzake ili amtie mimba mkewe, amfikisha mahakamani kwa kushindwa kumtia mkewe mimba

    Kuna namnaa ya kuweza kupandikiza mbegu bilaa kuwa na mwanaume inawezekana kwann afanye hivyi
  3. E

    JamiiForums Tanzania Mbowe amesema angekuwa na roho nyepesi na mpenda fedha angekuwa ameshahama upinzani

    Mbowe ni mpigania haki, kama anakula pesa nani mshahidi nanii mtakatifu kuliko wengine, cha muhimu, hao wadhaifu waondoke, wabaki strong members only. Chadema bado ni strong sana, na imefanya kazi kubwa na kuibua mambo mengi yaliyojificha ndani ya nchi hii. So chadema tusonge mbele tupiganie...
  4. E

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya moyo....!!!

    Daaah polee mkuu, ndo hivyo, achana nae tu, jipange Mungu atakupa mnae endana nae tu kaka
  5. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ugomvi wa wanakijiji wa momela na Arusha National park

    Ook thanks for your good cement about it, but TANAPA failed many times and decided to use force to put the beacons in the villagers land, but for now the villagers go further for more clarification about it, and the law will take place, i bealive, and if you have more you can helping us
  6. E

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Ugomvi wa wanakijiji wa momela na Arusha National park

    Wanakijiji wa kijiji cha momela wamepigwa mabomu kwa kuweka pingamizi la TANAPA kuweka mpaka kwenye mashamba ya wanakijiji na kudai kuwa ni sehemu ya national park, na mgogoro huo umekuwa ukisuluhishwa mara nyingi na wanakijiji kushinda hiyo kesi hiyo mara nyingi, lakini Askari wa Arusha...
Back
Top Bottom