Recent content by Electric Drive

  1. E

    NACTE wamebana hatimaye wameachia Diploma na Cheti kwa kozi za Afya

    Msaada katika kulipa fee pale wanasema 10,000 per institution je kama unachagua vyuo vitano unalila 50,000? Waliopitia mchakato huu msaada pls
  2. E

    Suala la Airtel na TTCL inajulikana tokea 1998, na Serikali iliweka mabilioni na kuua TTCL

    Hata vijana wakishapewa wanajisahau.Mfumo ni mbovu tukipewa ndo imekufa hivyo. Ukiangalia mfumo wa uendeshaji wa Voda,Tigo na Airtel unahusisha subcontract kwa contractors wengi ambao wanafanya kazi usiku na mchana kila mmoja na task yake kuhakikisha mambo yanaenda.Sasa kwa urasimu wa serikali...
  3. E

    Suala la Airtel na TTCL inajulikana tokea 1998, na Serikali iliweka mabilioni na kuua TTCL

    Hata kwenye Makinikia walijua kila kitu kwamba tunaibiwa lakini kuna mambo ya sheria nk ndio maana mpk leo hayajaisha. Usifikirie kwamba serikali itaita press conference iseme kuanzia leo Airtel ni yetu,kuna process flani zitapitiwa.Let's wait tusipige ramli
  4. E

    Suala la Airtel na TTCL inajulikana tokea 1998, na Serikali iliweka mabilioni na kuua TTCL

    Ikitokea wameichukuwa Gvt wakaweka management ya wazalendo ndio mwisho wa Airtel kama wataiendesha kama wanavyoendesha Ttcl
  5. E

    Suala la Airtel na TTCL inajulikana tokea 1998, na Serikali iliweka mabilioni na kuua TTCL

    Ameagiza waziri afanye uchunguzi na sio akachukue hisa.Baada ya uchunguzi ndio itaeleweka,usichukulie kirahisi tu hilo suala.
  6. E

    Naona dalili za wazi kufa kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki

    Watu ambao hawajawahi kutoka nje ya tz na ambao hawana mishe mishe nchi za EAC ndo wanasema ife tu hakuna hasara. Alafu ile Sera ya viwanda bidhaa zake ni za kuuza Marekani na UK?
  7. E

    Swali Fikirishi: Je Tanzania tunapambana na nani DRC (EA)?

    Tangu nimeanza kusoma wanaoandika kuhusu issue ya Congo wewe ndo umeandika the fact on the ground. Mataifa makubwa + UN ndio tatizo la Congo miaka yote.watu watakaa humu kumtaja PK na M7 miaka nenda rudi na hawatapata majibu.
  8. E

    Mkurugenzi Mtendaji Liwale Lindi Ashinda Kura Za Maoni CCM Singida Kaskazini

    Hivi kati ya Ubunge na Ukurugenzi kipi kinalipa zaidi?
  9. E

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Kama kuna mtu anajua bei kwa kilo wanauzaje anisaidie.
  10. E

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Thanks,una connection kule mkuu?
  11. E

    Fahamu kuhusu kilimo bora cha Hiliki

    Asante,sijawahi kufika nikipata contacts za wadau wa huko ili nijue hali ilivyo kabla sijafunga safari itakuwa vzuri
Back
Top Bottom