Wenyewe wanafikiri wako bado Dodoma wamezoea sasa zamu yao kumbe kususa ndio fasheni sasa vile vijembe pale dom vilikuwa vya nini hasa yule kibajajiWavunje bunge. Sasa mbona maalimu akisema haimtambua dr cheni mnamsuta kumbe na nanyi hamtambuani. Vunjeni tu hilo bunge ukweli ni gharama kuliendesha na halina faida kwa wananchi
Cv inasaidia nini ikiwa kichwani DABCV ya KIMBISA please
kama nchi iliyokubwa tulitakiwa kujenga a lot of influence amabyo hatuna, hatuna kwa Rwanda (DRC) hatuna kwa Kenya (vifaranga) hatuna popote , tumekaaa kugombana na chademamalumumba yanaona aibu kutia neno hapa..kimyaaaaaa
Vyuma vimekaza mpaka EALAWaambie hao wabunge wa Tanzania waache usenge! Kama hawataki kazi warudi nyumbani wakalee watoto!
Tanzania kama nchi, zamu yetu imeshapita, tumeshatoa spika, sasa ni zamu ya nchi nyingine. Huyo Kimbisa alieyambulia kura sifuri, message has been sent to him and it has been well delivered...
Burundi wanaong'angania wao wameshatoa katibu. Haiwezekani nchi moja ishike nafasi zote kwa wakati mmoja. Hao nao ni njaa tu zinawasumbua...
Katibu anatoka Burundi sio RwandaCoW in different way. Hii ni zamu ya Burundi. Katibu kutoka Rwanda anataka kuleta ubabe. EAC haina vision kama sheria zinakiukwa basi tukae upya tujipange tutakapokuw tayari tuunde. Waliotayari waendelee.
Kula like 5Spika abaki huyohuyo mlizoea ubabe home hapo ni haki tu
umjue huyo aliyekuwa anataka uspika?Cv inasaidia nini ikiwa kichwani DAB