Moja ya changamoto kubwa ya hiyo gari ni kuwa ukipita mtaani na hiyo gari watu wanajua ni slay queen 👸 anapita so jiandae na hiyo changamoto kama wewe ni wa kiume.
Jamaa katumia kimombo kuandika hekaya zake za uongo lakini Bahamian nzuri aliowataja baadhi yao washabondwa hasa huyo Israel tena na migambo inamchachafya.
Tatizo la wanazi wa SIMBA ni kwamba walikosa furaha kwa kipindi kirefu sana timu ilikuwa na mwenendo dhaifu kwahiyo hata tabia zao za kuongea sana zilipotea na wakabaki na msongo wa mawazo, sasa baada ya kumkanda yule asiye na malengo jana wameanza kuonyesha tabia zao halisi za kujiona wao ndio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.