Recent content by El west

  1. El west

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Waliokula tunda **** - SIHARA za watawa, malecture,maafisa elimu,wakwe,shangazi zao na yule wa under 18 ndo wamesabaisha uzi ufutwe! 😂😂😂😂😂😂😂 Waliokula **** - SIHARA za ma beki-3, wanachuo! Hawana shida
  2. El west

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Uzi bora kabisa wa karne, japo mashuhuda upande wapili (KE)👋wamenyuti na shuhuda zao!!! Mabaharia tusonge mbele tu bila kuchoka 😂😂😂
  3. El west

    Sio vyuma tena bali ni nut ndio zinazidi kukazwa

    Hao watu wanataka wafanyenini?, kwann hii movie haiendelei!!! Si uungwana huu😂😂😂
  4. El west

    Ndoa ya mtoto wa Kagame yasimamisha shughuli zote za kiuchumi hapa Rwanda!

    Wazungu huwa wanaduwaa kwa mambo ya Afurika, wazungu kiongozi anateuliwa kusimamia sheria nayuko kwa dhamana yawananchi! Afrika kiongozi ni anajimilikisha nchi, mambo ya seblen kwake hayo,wengine ndoa haiwahusu
  5. El west

    Wanaume!

    Mostly ni mume kakaliwa au uzungu uzungu wa Instagram
  6. El west

    Tupeane challenges mlizokutana nazo kulea teenagers

    Nili smok,pombe,videm kupiga mtungo,kula kuberi,olevel na advanc skul nilikuwa napigwa spaa ndefu but home wala walikuwa hawajui, marafiki karibia wote sikumaliza nao shule coz walifukuzwa, kilichoniokoa kutofukuzwa shule ni AKILI BINAFSI NA KWELI siku waangusha! Wazazi wasinge amini yakuambiwa...
  7. El west

    Paul Makonda anabebwa sana

    Then walimu kupanda daladala kwa kitambulisho👌🏻 Now kudai waliokula pesa za taifa Stars 💪🏽
  8. El west

    Tupeane challenges mlizokutana nazo kulea teenagers

    Sijafika umri huo wakulea teenager ! But huenda mzee wangu angejua niliyokuwa nafanya when i was teenager angepata presha!!
  9. El west

    Leo Nimemdhamini Mwanamke Laki 5-- Sijui Itakuaje

    bila shaka atakuwa na yeye amekuhonga maumbile yake!!
  10. El west

    Viagra za kike sokoni

    Wabakinazo tu!! Weusi hawaitaji booster🌞
  11. El west

    Viagra za kike sokoni

    Rejea kichwa cha habari hapo juu! Wale wataalam kutoka ng'ambo huko mbele,wamesema ifikapo September mwaka huu viagra kwa wanawake itakuwa sokoni!!! Swali!! Bila viagra nibalaa wakimeza itakuaje?! Uzi tiar wakuu
  12. El west

    Leo nimekaaa.., Nimetafakari kwa kina.....

    Naona hata bandani kwangu always mitetea ni mingi jogoo chacheee 🌚
  13. El west

    Nani anakumbuka chupi za VIP?

    Picha bandugu! Tunaisikia tu, picha wahenga tupime mateso mliyopitia 😂😂
Back
Top Bottom