Imewahi kunitokea bana tulijuana na demu mmoja hivi mwanachuo nikiwa kazini tukabadilshana namba tukawa tunawasiliana then nikamtongoza akawa anazingua anadai ashatendwa sana na wanaume so hataki relationship na mtu hadi hapo akituliza akili lakini niliendelea kuwasiliana naye hadi siku moja...
Mnapopost matangazo ya biashara msisahau kutaja na bei ya mali yenyewe. Maelewano maana yake nini kama hujataja bei kwanza? Nimewahi kuona tangazo la kiwanja gazetini nikapiga simu ili niambiwe bei nikaambiwa ni kizuri na bei maelewano nikafunga safari kutoka Tabata na kwenda kuona kiwanja...
Wewe si ulijidai unaenda kusoma unaacha mume? Shauri yako na wengi mnapoteza kwa staili hii. Ulishindwa nini kuolewa halafu uende shule? Umeshapoteza tafuta wa kwako achana na mume wa mtu
Wadau tumemsajili rasmi Calum Chambers dogo anaweza kucheza right back, central defence na defensive midfielder. Plan za Wenger ni kumfanya kama Emmanuel Petit aliyekuwa namba mbili mkali akageuka kuwa kiungo wa ulinzi hataree.
Mbona mnajipigia sana tu ila ishu zenu ni kuiba pesa tu kwenye mapenzi ni sifuri hampo. Ndo maana wanawake hawawataki na mtaendelea kuchapiwa na wahaya.
Nawakubali sana wahaya wanajali sana wake zao na wanajua sana mapenzi wanaume wengi wanawaita wahaya wahuni kwa vile wananyanganywa sana mademu zao huwezi kushindana na mhaya kwa mwanamke aisee jamaa wanajua sana kubembeleza na hata akimpata demu anamtosheleza ni adimu kuckia mhaya kanyanganywa...
Yataibuka mengi tu ya mbio za urais kila mtu na mgombea wake. Hiyo ndo CCM ngoja tusubiri tuone. bado kina Ndugai, Simbachawene, Nkamia, Komba, Nyambari, Prof. Maji Marefu watakuja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.