Recent content by El.pisterio

  1. E

    Mwanaume anaweza kulala kitanda kimoja na rafiki yake wa kike bila kufanya chochote?

    Imewahi kunitokea bana tulijuana na demu mmoja hivi mwanachuo nikiwa kazini tukabadilshana namba tukawa tunawasiliana then nikamtongoza akawa anazingua anadai ashatendwa sana na wanaume so hataki relationship na mtu hadi hapo akituliza akili lakini niliendelea kuwasiliana naye hadi siku moja...
  2. E

    Kiwanja kinauzwa

    Mnapopost matangazo ya biashara msisahau kutaja na bei ya mali yenyewe. Maelewano maana yake nini kama hujataja bei kwanza? Nimewahi kuona tangazo la kiwanja gazetini nikapiga simu ili niambiwe bei nikaambiwa ni kizuri na bei maelewano nikafunga safari kutoka Tabata na kwenda kuona kiwanja...
  3. E

    Sifa tofauti za watu wa wilaya za Kinondoni, Temeke na Ilala jijini Dar

    Kinondoni ndo wilaya yenye watu wengi kuliko hizo nyingine zote.
  4. E

    Kwenu wanawake: Kinachowapa raha ni ukubwa wa dushelele au ufundi wa mwenye dushe?

    Duh ati nini? Team vibamia wanawapaka shombo tu? Wacheni hizo bana
  5. E

    nifanyaje na huyu bwana

    Wewe si ulijidai unaenda kusoma unaacha mume? Shauri yako na wengi mnapoteza kwa staili hii. Ulishindwa nini kuolewa halafu uende shule? Umeshapoteza tafuta wa kwako achana na mume wa mtu
  6. E

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wadau tumemsajili rasmi Calum Chambers dogo anaweza kucheza right back, central defence na defensive midfielder. Plan za Wenger ni kumfanya kama Emmanuel Petit aliyekuwa namba mbili mkali akageuka kuwa kiungo wa ulinzi hataree.
  7. E

    Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

    Mbona mnajipigia sana tu ila ishu zenu ni kuiba pesa tu kwenye mapenzi ni sifuri hampo. Ndo maana wanawake hawawataki na mtaendelea kuchapiwa na wahaya.
  8. E

    Wadada wengi hupendelea kuolewa na WAHAYA

    Nawakubali sana wahaya wanajali sana wake zao na wanajua sana mapenzi wanaume wengi wanawaita wahaya wahuni kwa vile wananyanganywa sana mademu zao huwezi kushindana na mhaya kwa mwanamke aisee jamaa wanajua sana kubembeleza na hata akimpata demu anamtosheleza ni adimu kuckia mhaya kanyanganywa...
  9. E

    Prof. Anna Tibaijuka anafaa kuwa Rais wa Tanzania

    Yataibuka mengi tu ya mbio za urais kila mtu na mgombea wake. Hiyo ndo CCM ngoja tusubiri tuone. bado kina Ndugai, Simbachawene, Nkamia, Komba, Nyambari, Prof. Maji Marefu watakuja
  10. E

    Punyeto ni nini na nini madhara yake?

    Naenda kufanya majaribio mkuu nikifanikiwa nitarudisha mrejesho
  11. E

    Nimemfuma Mpenzi wangu.

    Si kila kitu cha kupost JF. Unaomba ushauri gani kwa jambo dogo na la kawaida kama hilo?
  12. E

    Tanzania yapeleka kikosi cha JWTZ Wilaya mpya ya Nyasa

    Apigweeeeeee. Apigweeeee. Hakika ya Nduli yanarejea safari hii na mimi ntakuwa mhamasishaji niingie kwenye vitabu vya kumbukumbu ya Tz.
  13. E

    Natafuta mchumba-waifu

    Mrejesho lazima nitawapeni wana mmu.
  14. E

    Natafuta mchumba-waifu

    Usiogope Evelyn Salt. Karibu pm
  15. E

    Natafuta mchumba-waifu

    Usikate tamaa huyo ameandika huku amelewa na chupa yake ya konyagi mkononi
Back
Top Bottom