Mr Eggo
JF-Expert Member
- Sep 13, 2012
- 2,028
- 1,051
Kwahiyo jamaa ndo alikubikiri wakati ukifanya kiherehere cha sekondari, right???
and that was my concern...ameanza kufunuliwa ck nyng mnooo...
Kwahiyo jamaa ndo alikubikiri wakati ukifanya kiherehere cha sekondari, right???
Japo sijajua umeachana nae kwa muda gani, lakini saikolojia ya mapenzi inasema ili uweze kumsahau mtu inapaswa ukae walau kuanzia siku 90.
Na hili litawezekana kama utakuwa tayari kujenga mazingira ya kuweka mipaka ya mawasiliano kati yenu.
Jaribu kutengezena maneno yatakayo kufanya uone swala la kurudiana nae ni ngumu kama ilivyo ngumu wewe kurudia uchanga wako. na maneno hayo jaribu kuyarudia rudia kila mara mawazo ya kumkumbuka yanapokuijia
Labda mfano wa maneno hayo unaweza kuwa hivi, ana mke , ana mtoto, n.k ili mradi tu yaonekane kama ndio kigezo kikubwa cha wewe kutokuruduiana nae hata siku moja.
Pia jaribu kuwa karibu na huyo mpenzi wako wa sasa, chukua muda wako kujisomea na kujipumzisha kwa mambo madogo madogo yatakayo kuweka bize kiakili.
Mwisho, Pole sana kwa yaliyokukuta.
Kwa kumbukumbu zangu wewe dada uliliwa humu jamvini na jamaa mmoja
Jamaa wa watu kwa kweli alitia hurumu we ukawa unarembua. Ukamkataa mbele ya umma wa JF
Leo unakuja kulia humu ! Pathetic ! You are an idiot
Sio tatizo lako, ni kiwango chako cha kufikiri ndio kimeshia hapo, kwaheri:A S 103: