Tatizo lingine kila mtu anafanya kibinafsi,kwa hiyo uzalishaji unakua katika viwango visivyofanana kiubora,tungekua na vijiji vya kilimo biashara ambapo wafugaji na wakulima wanajiunga katika vikundi na kuweka wasimamizi wa miradi ambao ni wataalamu kungekua angalau na uhakika wa soko pamoja na...
Mfano wazungu hawajui mataifa mengi afrika,wanajua afrika ni nchi moja,lkn sisi kudadeki,mm niko primary najua kila nchi duniani jina lake na mji mkuu,na haijanisaidia kitu.
Nimeenda mwnyw juzi kwny makao makuu ya hawa Namaingo Business Agency,kwa niliyoshuhudia ni kweli nimeshawishika kuwa hii fursa ni ya ukweli.
Wenye uzoefu zaidi na hii kitu changieni,this could be the next big thing where entrepreneurship is concerned.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.