Kuna dada mmoja nilimshuhudia yeye mimba yake ilikuwa inapenda harusfu ya kinyesi.
Kila saa tunamuona anaenda chooni ikabidi kuchunguza maana anaenda kila saa na anakaa muda mrefu sana
Katika kumuuuliza sana alithibitisha kuwa anapenda sana harufu ya kinyesi (choo chenyewe cha shimo) hasa...
Age aint a thing but a number. By the way, akiwa 25 to 28 poa sana. Zaidi ya hapo kama vigezo vipo umri ndo vile tena, hapo ni swala la kufikiria tu na kukubaliana.
Ray B, nimeupokea ushauri wako vizuri, ila nimetahadharisha wazi ya kuwa sitanii, niko serious na mimi ni mwanaume halisi.
Vilevile ndege wenye mabawa yafananayo huruka pamoja. So i trust in myself kwamba ni great thinker na ni vema nikapata great thinker mwenzangu
Hellow wana JF jukwaa la MMU,
Mwenzenu sasa ni kijana mkubwa, umri miaka 29 nimechoka kukaa peke yangu, i need to have someone we can cherish this life together.
Mwenzenu sitafuti mpenzi tu, natafuta mwanamke wa kuoa na nasikia harufu ya kumpata JF. Hata kama sio member, kama unafahamu mtu...
No Paka Jimmy. By the way nimekuwa mfuatiliaji wa JF kwa muda mrefu sana
Pia nilijiunga J2 na hii picha nimeweka leo. Hivyo niliutumia muda huu vizuri kulifahamu jukwaa na mambo mengine mengi ikiwamo sheria zake, kuweka hizi picha (Avatar) na signature. Vilevile ni member wa blog ya FIFA kwa...
Na hapo ndo pa kushangaza. Maana yake ni kwamba hata nyimbo zetu za taifa ni za Kikristo zaidi. Maana verse zimechukuliwa huko
We need to help our leaders to think ahead
Mkuu Acid hili ni tatizo la watu kutokujua ya kufikiria.
You cant stiff your neck just on single thing ambayo wala haina umuhimu zaidi.
Nadhani tunapaswa kuanza kubadilika kifikra
Hivi tunavyoweka promo ya upuuzi wa kidini ndivyo tunavyoendelea kuiweka nchi yetu kwenye wakati mgumu. Leo hii...
Wandugu wana-jamii naomba kuwasilisha hoja ya kupitishwa kwangu na nyie nyote kuwa miongoni mwa wanajamii wenza wa jukwaa hili tukufu baada ya maombi yangu kukubaliwa na Mods.
Ahsanteni na nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.