Recent content by El Magnifico

  1. El Magnifico

    Vituko vya mimba

    Kuna dada mmoja nilimshuhudia yeye mimba yake ilikuwa inapenda harusfu ya kinyesi. Kila saa tunamuona anaenda chooni ikabidi kuchunguza maana anaenda kila saa na anakaa muda mrefu sana Katika kumuuuliza sana alithibitisha kuwa anapenda sana harufu ya kinyesi (choo chenyewe cha shimo) hasa...
  2. El Magnifico

    Tafakari ya 2010

    :eek: JEMA: Nilijiandaa kutimiza ahadi yangu kwa mpenzi kwa kuwa tayari kufunga nae ndoa BAYA: Nilizubaa wajanja wakaniwahi wakammega akapata mimba:bump:
  3. El Magnifico

    Life time partner, are you there??

    Age aint a thing but a number. By the way, akiwa 25 to 28 poa sana. Zaidi ya hapo kama vigezo vipo umri ndo vile tena, hapo ni swala la kufikiria tu na kukubaliana.
  4. El Magnifico

    Life time partner, are you there??

    Ray B, nimeupokea ushauri wako vizuri, ila nimetahadharisha wazi ya kuwa sitanii, niko serious na mimi ni mwanaume halisi. Vilevile ndege wenye mabawa yafananayo huruka pamoja. So i trust in myself kwamba ni great thinker na ni vema nikapata great thinker mwenzangu
  5. El Magnifico

    Life time partner, are you there??

    Awali niliwahi kuangalia sura na ndizo zilizonilet down. Hapa sura kigezo cha mwisho
  6. El Magnifico

    Life time partner, are you there??

    Naogopa, mwenyekiti wao aliwaambia wasitupe unyumba wakati mimi nimechanjiwa damu ya Upinzani
  7. El Magnifico

    Life time partner, are you there??

    FirstLady wapo huko kote, lakini ni nani ajuae mwenzake atatoka wapi? I feel here in JF. hapo vipi
  8. El Magnifico

    Life time partner, are you there??

    Hellow wana JF jukwaa la MMU, Mwenzenu sasa ni kijana mkubwa, umri miaka 29 nimechoka kukaa peke yangu, i need to have someone we can cherish this life together. Mwenzenu sitafuti mpenzi tu, natafuta mwanamke wa kuoa na nasikia harufu ya kumpata JF. Hata kama sio member, kama unafahamu mtu...
  9. El Magnifico

    Hodi

    No Paka Jimmy. By the way nimekuwa mfuatiliaji wa JF kwa muda mrefu sana Pia nilijiunga J2 na hii picha nimeweka leo. Hivyo niliutumia muda huu vizuri kulifahamu jukwaa na mambo mengine mengi ikiwamo sheria zake, kuweka hizi picha (Avatar) na signature. Vilevile ni member wa blog ya FIFA kwa...
  10. El Magnifico

    Kikwete alikataa wimbo teule wa EAC kwa kudai ni wa "kikristo mno"

    Na hapo ndo pa kushangaza. Maana yake ni kwamba hata nyimbo zetu za taifa ni za Kikristo zaidi. Maana verse zimechukuliwa huko We need to help our leaders to think ahead
  11. El Magnifico

    Hodi

    Thank you vere machi Gud Guy
  12. El Magnifico

    Hodi

    Thank you vere machi
  13. El Magnifico

    Mkapa angewafaa zaidi Waislam Kuliko Kikwete

    Mkuu Acid hili ni tatizo la watu kutokujua ya kufikiria. You cant stiff your neck just on single thing ambayo wala haina umuhimu zaidi. Nadhani tunapaswa kuanza kubadilika kifikra Hivi tunavyoweka promo ya upuuzi wa kidini ndivyo tunavyoendelea kuiweka nchi yetu kwenye wakati mgumu. Leo hii...
  14. El Magnifico

    Hodi

    Wandugu wana-jamii naomba kuwasilisha hoja ya kupitishwa kwangu na nyie nyote kuwa miongoni mwa wanajamii wenza wa jukwaa hili tukufu baada ya maombi yangu kukubaliwa na Mods. Ahsanteni na nawasilisha
Back
Top Bottom